Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Kama ulishawahi kusikia "Polisi jamabazi" basi ndio huyo marehemu njagu from Bukoba [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaah
 
Askari amedhulumu K...ukute ndo michezo yake Mungu kamuumbua tu. Na ukute hata room hakulipia shenzy type. Marehemu hakuwa muungwana
[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa si angepita getini?

Unamuambia tu mlinzi, mimi askari. Unatoa kitambulisho na Radio call, over.

Umepata taarifa ya tukio fulani kutokea. Unatokomea unakojua wewe.
Ni kweli kabisa sema kifo nacho duh.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamaniiii
Kwenye kilichomuua marehemu ni kichekesho japo kifo hakifurahishi, Ee Mungu niepushie mbali
 
Askari alitaka kukimbia bila kumlipa huyo mwanamke, sasa shetani akasema hy haiwezekani kumtapeli mwanae akaamua kumpa jina jipya la marehemu.
Ndio maaana sitakagi ujinga na makahaba lzm ulipe chake la shvyo kitakacho Pata dunia itashangaa funzo kubwa Sana hili liwekwe kwenye kumbukumbu za matukio watu wahadithiwe baadae2070

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom