wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Ukute alikuwa tungi pia
Na ndio kimechangia hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute alikuwa tungi pia
Mkuu kwa police hawa. Wanaoitwa saa 9 wanakuja saa mojayah acha mlango wazi lala,Mungu anakulinda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaa yangu alikuwaga njaguanasema kama wakati ule wanakwe da kukamata bitchies pale kona bar unaambiwa wanawapitisha sehemu ya giza afu wanaanza kuwapiga mashine vibaya sana baadae ndo wanwapeleka Selo!
Kuna TanPol wawili waliingia choo cha kike pale mitaa ya Umoja House wakati huo inajengwa.Jamaa yangu alikuwaga njaguanasema kama wakati ule wanakwe da kukamata bitchies pale kona bar unaambiwa wanawapitisha sehemu ya giza afu wanaanza kuwapiga mashine vibaya sana baadae ndo wanwapeleka Selo!!
Afande alikuwa anapeleleza jambo fulani wakati anakaribia kukamilisha likaja la kuja.Waanze upya kuigiza hii tamthilia.Kuna ukweli ulojificha.
Mtu anatorokq kwa kuruka gets then anaangukia kichwa...
Uyo hamefaliki kishujaha.Askari Polisi jijini Arusha amefariki dunia katika mazingira ya utata katika nyumba ya kulala wageni ya Mrina shine iliyopo makao mapya jijini hapa...
Unapigwa pipeUkuta wa konyo
Ajali kazini. Maisha magumu😀