Na anahukumiwa kunyongwaKwenye sheria na kiutaratibu hakuna kitu kama hicho.
Mhalifu hata muuaji, hata kama ameumia wakati wa kukamatwa, atatibiwa apone ili apelekwe mahakamani.
No body is livensed to kill.
Kawaida tuu mkoani Iringa kuna jamaa m1 alijijengea Kaburi la B1Karma inamlemea, anaona kaburi ndio pumziko la pekee na sio madaraka
Kawaida tu kachagua njia sahihi sema tu kwetu bado tuna mawazo mgandoKarma inamlemea, anaona kaburi ndio pumziko la pekee na sio madaraka
Angalia thread niliyokua nimeweka, sijaandika Tu kutoka hewani! Soma comments Zangu nyingineKawaida tu kachagua njia sahihi sema tu kwetu bado tuna mawazo mgando
Kuna ukweli kwa 100%Huyo nasikia aliua sana kipindi chake
Ukiona hufi haraka ziko mbinu 1000 za kujichukulia hatua mkononi.Ni pale umestaafu, umejiandaa kufa.
Halafu hufi!
Unamaliza kilo za sembe, kaburi lipo, jeneza lipo.
Kwa nini wanandugu wasichukue maamuzi mazito?
Hakika.Kumbukumbu mbaya ambazo hazifutiki katika mawazo yake ndio zinasababisha haya,unaweza Kuta wakati akiwa kazini alifanya mambo mengi Kwa sifa,na alipongezwa na waliokuwa wakubwa zake,baadae Ile kumbukumbu zilipokaa vizuri akagundua Kuna mambo yanaiondoa amani na utulivu wa nafsi yake,hivyo jibu pekee ni kujiandalia hayo mapema maana Hana matumaini Tena ya kuishi,anaiona Dunia kama inamhukumu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli ni ujamaa tulio nao ambao una tufanya tufikilie tofauti jamaa yupo sahihi kabisa kujiandalia sehemu ya kuzikiwa ni jambo la kiuungwana kwa nchi zilizo endeleo hayo ni mambo ya kawaida washavuka level za ujamaaKuna ukweli kwa 100%
Damu za Wahanga zinamlilia
Mlikuwa mnavizia malaya sio?Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
Kaka utavunja ndoa za watuDemu wake alikuwa jimama flani lililokuwa linamiliki Mambo club..
Litafanyiwa modificationIshu ni kwamba hilo jeneza la 3m litapitwa na wakati endapo atachelewa kufa, let's say kama umri wake utaongezeka zaidi akiwa hai hilo sanduku litaonekana ni la bei ndogo na halina hadhi ya kuzikia mtu mwenye status kama yeye na itabidi linunuliwe jingine la kisasa zaidi na bei kubwa. Kaburi nalo litaharibika shape yake kutokana na migandamizo ya udongo kutokana na nguvu za uvutano ardhini, na kama limejengewa na kusakafiwa vizuri hata likiwekwa tiles litaharibika tu. Makaburi yenyewe yamekuwa yakijengwa kwa gharama kubwa kutokana na hali ya mtu kiuchumi. Huyu bwana anashangaza tu ulimwengu hawezi kujizika mwenyewe atakavyo
Sasa mbona anapata maluweluwe ya umauti.Alikuwa ni askari shupavu na mahiri kabisa.Enzi zake alipewa pasi za ugoko na akazitendea haki.Wahalifu wanamjua au familia zao zinamkumbuka.Askari mpelelezi aliyewakomesha majambazi sugu, mwenye shabaha isiyo ya kawaida.RIP Sabasita.
Watoto mkalale mkishakunywa maziwa au uji wa lishe
Kabisa kaka. Amedhulumu watu haki za kuishi akidhani yeye ni Mungu mtuVolodimiri Zelensiki inaonesha huyu jamaa alikuwa muovu?
Hakika muda ni kila kitu kwenye maisha.Kabisa kaka. Amedhulumu watu haki za kuishi akidhani yeye ni Mungu mtu
Yupo Sawa Waislamu wao huweka Shanda vyumbani kabatiniHuyu askari mstaafu Kimaro a.k.a Saba Sita, anafukuzana na kivuli chake cha mauti.
Siyo rahisi kwa mila za kiafrika, kukikaribisha kifo kwa bashasha na kimipango kama huyu Saba Sita anavyofanya.
Msuti yake yamemkaa akilini kisawasawa na hafikirii kitu kingine cha maendeleo.
Huyu Saba Sita asingekuwa na muonekano wa afya, tungesema anaumwa, anatamani kufa.
Hisia zangu ni kwamba huyu Saba Sita kuna kitu kinamsumbua kiskili. Kuna mshali kacheza rafu wakati wa utumishi polisi.
Kuna harufu ya damu inamfukuzia.
Kahumba ulifata nini mkuu??Mara ya mwisho naonana na 76 ilikuwa 2003 nikiwa Kahumba Morogoro
ACha ubishi wa kibwegeHuyu sio askari ni afisa mstaafu.
Alikuwa afisa mwandamizi