Majibu excellent kabisa, nadhani atakuwa amekuelewa. Lile Rundi katili kifo chake kimeleta faraja na matumaini kwa taifa.Aaah wapi! Labda anakutesa wewe unayeshinda ukimlilia! Wengine hivi sasa tuko huru ila yeye mwenyewe huko alipo bila shaka anateseka vilivyo akichezea mateso ya milele.
Ni kweli, alikuwa rare species indeed! Ni mara chache sana unakutana na binadamu mwenye roho mbaya kama mwendazake. Wengi lazima tu wanasherehekea kifo chake
Naam, legacy kama ya Adolf Hitler ambaye pamoja na kufa na kuwa mzoga kwa miaka zaidi ya sabini bado anakumbukwa kwa uovu wake! Legacy my foot!
hii ni dharau kwa IGP kwamba vikosi vyote vya Sirro ni hovyo mpaka huyo mmoja alejeshwe?? au anataka kumpa nafasi ya Mambojana?Wote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
🤣🤣🤣umeuchana ukweli kama ulivyo.Ishu siyo mtu, ni matukio. Huyu IGP aliwahi kuambiwa na Jiwe akiwa RPC DAR awanyang'anye hawa wajinga silaha haraka haraka na ndo maana ujambazi ulipungua wakati ule, leo mama kadokezwa kuwa ule ujinga umerudi so amemkumbusha Siro, asipime kina cha maji. Siku zote majambazi ni Polisi, yaani aendelee pale Jiwe alipoachiwa. MUHIMU, MAJAMBAZI NI ASKARI POLISI, Period
Alikuwa na falsafa gani ya maana zaidi ya kuliangamiza Taifa kwa kulipelekea kaburini? Hivi akali zenu zikoje?Tatizo sio kulala kwake, ila ni falsafa yake aliyoiacha kwenye mioyo ya watanzania wenye utimamu wa akili kuhoji mambo y msingi 😎.
Mama anaanza kupuyanga mapema mno. Moja ya jukumu kubwa alilonalo ni kufuatilia mambo kwa kina ili kuepuka kutoa majibu yanayoacha maswali ktk kutatua changamoto zinazolikabili Taifa letu.
Kwa hiyo mwaka 2004 nchi ilikuwa vipi?Nchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Hatuna Rais hapa, tuko auto pilot mode, fisadi yoyote huu ndio muda sahihi.Mama anaongoza nchi kwa kutumia mitandao, yani et kaona huko mitandaoni wamemtaja huyo Askari hata jina halikumbuki.
Huna ulijualo ww bintihii ni dharau kwa IGP kwamba vikosi vyote vya Sirro ni hovyo mpaka huyo mmoja alejeshwe?? au anataka kumpa nafasi ya Mambojana?
yes you are right he was one of those rare species the world has ever witnessed.Na ataendelea kuwatesa hadi kizazi chenu cha kumi! JPM was one the rare African Leader species born in our time ndio maana pamoja na kwamba aliishafariki, JF HAIWEZI kukaa bila threads zake na ikabaki salama! That's Legacy fella!!!!
Na wa mikoani mtukimbuke..tunapigwa vyuma Kama kawa
Muroto Yupo likizo ya kustaaf nazani ni mwezi huu wa tano ndio anastaaf labda kama wana nia ya kumuongezea muda kama ilivyo kuwaga kwa zelote etcSio Afande Muroto Kweli, mzee wa kipigo Cha Mbwa Koko, Mzee was unapigwa Hadi uchakae
Legacy pekee aliyoacha mwendazake ni matusiMsukuma alikubikiri na kukuacha utanyooka tu
Hapana, hajaamuru kwamba arudishwe bali ame quote maoni ya walalamikaji mitandaoniWote tumesikia kutoka kwa Mh Rais alipokuwa anaongea na Wanaoitwa Wazee wa Dar es Salaam kuhusu kuongezeka kwa matukio ya ujambazi Jijini Dar es Salam na vitongoji vyake (maana Jiji ni Ilala tu) ambapo Mh Rais amemuagiza IGP kulishughulikia jambo hilo na kulikomesha haraka huku akiagiza yule askari aliyehamishwa ambaye ni mahiri kwenye kukomesha majambazi arejeshwe .
Ni askari yupi huyo aliyehamishwa na sasa anatakiwa kurejeshwa ili kudhibiti ujambazi? Ni nani alimhamisha na kwa sababu zipi?
Wewe mbona ulimtegemea huyo mpuuzi mmoja kati ya watu million 60? Kizuri ni kuwa alikufa na sasa KILA KITU KINAFUFUKANchi inaelekea halijojo tangu jpm aondoke kila kitu kinakufa ,huyu anategemeq mtu mmoja akomeshe ujambawazi kwa eneo lenye watu zaid ya million 6
Kwa hiyo wewe unao uwezo wa kupata habari nyeti kuliko Rais?Rais anataka kusema dawa ya ujambazi Dsm anayo huyo askari mmoja pekee? kwani yeye mafunzo yake aliyapatia wapi tofauti na hawa wengine?
Awe makini na hizi kauli zake, zitashusha ari ya kazi kwa hawa askari waliopo, vyema serikali yake itoe msaada unaohitajika mengine amuachie IGP ayamalize.
kujikwaa si kuanguka!Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.
Rais anayesema ujambazi umeongezeka Dsm kwa sababu ya askari mmoja amehamishwa, bila kuwa hata na taarifa za ndani za huyo askari, hapa hatuna Rais, tuna mzigo tu Ikulu.