Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Hao nyumbu wapigwe mawe wafe
 
Yaani hata angekua kilema. Ni moto. Hitler aliua hadi vichanga.

Uisilamu ni dini ya huruma, haiwezi kufanya kama ifanyavyo israel kuuwa wasio na hatia

God bless Hamas
God bless Palestinian people's
God bless all Muslims around the world
 
Nyumba aliyokimbilia asikari flo ya juu kunamtoto anacheza cheza hanawasiwasi pamoja na mlio huo ,kweli !haiwezekani hii ni chai
 
Halafu acha kujiita suleiman, jiite john au pascal, hilo jina ni kubwa na haliendani na wewe mkuu.

Vita ya chini israel hawezi, nadhani umeelewa, na ndicho kinachomkuta wanajeshi wanauawa.
mimi sijajiita suleiman, nimejiita sulemani. na ndivyo inavyoandikwa hata kwenye Biblia yangu. huyo alikuwa mfalme wa israel na kaburi lake lipo pale israel ambayo ninyi mnasema ardhi sio ya waisrael ni ya wapalestina waarabu waliovamia ardhi baada ya muisrael kwenda gerezani.
 
Ndio maana tumesema, Lazima Vita hii iendelee, Tutahakikisha sisi wanaIsrael, GAZA haikaliwi Tena na HAMAS.

Hatutasimamisha vita, Uwezo tunao, nguvu tunazo, na Hari tunayo.


Tutawapiga na hamna mtu wa kutufanya kitu, lazima GAZA tuisafishe. .
Aisee .
 
Kicha kweli mwaka gani lilifutika 😄Afu Muingereza ndio kalirudisha kwa hio Muingereza ana nguvu kuliko Mungu wa bibilia
 
Uisilamu ni dini ya huruma, haiwezi kufanya kama ifanyavyo israel kuuwa wasio na hatia

God bless Hamas
God bless Palestinian people's
God bless all Muslims around the world
😂😂😂😂unakunywa pombe kali sana wewe na si nzuri kwa afya yako.
Ila bado wale ni muslimas.
God bless them all,
 
Israel kishashindwa hii vita toka siku ya kwanza, iliobakia anapambana na wagonjwa na watoto mahospitalini.

Sasa hivi yeye apigane na wagonjwa Gaza vijana wanamdunguwa kutokea nje.

Muisraeli Kaingizwa anapotakiwa awepo.
Kama Israel kashindwa mbona mnalialia msaidiwe.
 
Waisraeli wanavyoingua ndani ya kifaru mpaka huruma.
hao ni wanajeshi, walipotoka nyumbani waliaga, na walijua wanaweza kufa.kwahiyo hata haiumizi, inaumiza pale anapokufa raia au mtu yeyote ambaye hajamwamini Mungu, mtu kufa katika dhambi ni hasara kubwa sana kwa Mungu. hata hamas hao wanaouliwa ni hasara kwa Mungu, walitakiwa waokoke kwanza ndio mengine Mungu anajua.
 
Sio hii, hii inamsubiri Yesu aje!!!..
Wafatilie vizuri, usikariri
 
inaumiza pale anapokufa raia au mtu yeyote ambaye hajamwamini Mungu, mtu kufa katika dhambi ni hasara kubwa sana kwa Mungu. hata hamas hao wanaouliwa ni hasara kwa Mungu, walitakiwa waokoke
Kwahiyo waisrael wanamwabudu mungu yupi? Na yesu ni nani kwao?
 
Ndio maana tumesema, Lazima Vita hii iendelee, Tutahakikisha sisi wanaIsrael, GAZA haikaliwi Tena na HAMAS.

Hatutasimamisha vita, Uwezo tunao, nguvu tunazo, na Hari tunayo.


Tutawapiga na hamna mtu wa kutufanya kitu, lazima GAZA tuisafishe. .
Sawa uwezo mnao lakn mwisho wa vita nanyie hasara mtaiona wanawaisrael bandia wa kizungu.
 
Ndio maana tumesema, Lazima Vita hii iendelee, Tutahakikisha sisi wanaIsrael, GAZA haikaliwi Tena na HAMAS.

Hatutasimamisha vita, Uwezo tunao, nguvu tunazo, na Hari tunayo.


Tutawapiga na hamna mtu wa kutufanya kitu, lazima GAZA tuisafishe. .
Gaza ikiondoka, Lebanon wataendelea, Lebanon Ikiondoka Syria wataendelea, Syria ikiondoka Iraq wataendelea etc. Ndio maana wapo Busy kupandikiza Vibaraka Nchi zinazoizunguka Israel, hio Vita haitaisha mpaka Haki itendeke. Amani ni zao la Haki.
 
Hamasi wamemua Gen wa Gaza Operation, yeye na wasaidizi wake mkiambiwa Hamasi ni super power wa Middle East mnabisha, Israel ni jeshi lakupiga watoto, wanawake na wagonjwa 😄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…