Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Ukipata naomba usisome juzuu Fanya research kuhusu Jordan civil war almaarufu black September love is blind hata ukiamua kumsaidia nyoka kua na tahadhari wameumbwa kung'ata au kumeza kabisa
 
Ukipata naomba usisome juzuu Fanya research kuhusu Jordan civil war almaarufu black September love is blind hata ukiamua kumsaidia nyoka kua na tahadhari wameumbwa kung'ata au kumeza kabisa
Wewe punguani kweli hauna unachojua mara PLO, lazima utakiwa shoga wewe nimekijibu hivi kihuni kutokana kauli zako nilitaka kukupa darsa kiduchu lakini kumbe akili za kishoga.
 
Hio historia ya vita ya kagera ina mengi tusiyoyajua, tutaongea tu vitu bila ushahidi hapa,

Huyo Mhariri alieandika Waarabu walimsaidia Iddi Amini, Nyerere Ali mind sana sababu Tanzania pia ilisaidiwa na waarabu, kulikua na waarabu pande zote mbili. Saudi na Libya walikua Upande wa Uganda na Algeria walikua Upande wa Tanzania.

Hata kabla ya hivi Vita Raisi wa Algeria ambaye alikua na Kansa aliacha wosia ikitokea Tanzania na Uganda watapigana basi Algeria Waisaidie Tanzania kushinda, na Walileta misaada mingi sana hapa kwetu, mpaka Vita Ilipoisha Nyerere mwenyewe akamtuma Mkapa kwenda Algeria kutoa Shukrani.

Makala Nzuri hapa inaelezea hii vita

So Nyerere mwenyewe anaujua ukweli, kama Palestina wangekua wametusaliti angewatimua, alieongea hayo maneno hakua Nyerere bali ni Mhariri wa Gazeti na Nyerere hakukubaliana na Hio Makala alikasirishwa, Algeria na Palestina ni Allies wa muda wote, kuna uwezekano kulikua na Wapalestina pande zote mbili.
 
Wewe punguani kweli hauna unachojua mara PLO, lazima utakiwa shoga wewe nimekijibu hivi kihuni kutokana kauli zako nilitaka kukupa darsa kiduchu lakini kumbe akili za kishoga.
Ukiishaanza kulawitiwa kila mwanaume unayemuona unamuona kama potential Basha hutuoni Tena kama kaka zako au baba zako wakubwa unachowaza ni kuingiliwa tu kinyume na maumbile anyway endelea kusapot ugaidi ila ndio ujue wanaisha wenzako kule
 
Sijui kama mbinu hiyo ni mbinu ya kivita kweli.Ingekuwa vifaru havina marokelti ndani yake ingeingia akili lakini kifaru kimejazwa maroketi kwa ajili ya kupiga.
Just imagine, 80% ya madaktari wa hospitali kubwa hapo gaza ni aapiganaji wa Hamas. Wamejenga ofisi zao kwenye mahandaki chini ya hospitali ardhini . Ambulances zinatumika kubeba wagonjwa na wapiganaji. Inabidi utumie akili ya ziada sanaaa kuwajua magaidi halisi.
Hata hivyo, wameshagundulika, na mwisho wao umefika. Its terrible.
 
Ukiishaanza kulawitiwa kila mwanaume unayemuona unamuona kama potential Basha hutuoni Tena kama kaka zako au baba zako wakubwa unachowaza ni kuingiliwa tu kinyume na maumbile anyway endelea kusapot ugaidi ila ndio ujue wanaisha wenzako kule
Wewe umeanza kulawitowa na mapadri toka upo seminari jina lako tu unaonekana shoga nenda kajitibu bawasiri wamaishakuharibu Kanisani pia sasa hivi Kanisa linabatiza mashoga mwambie basha wako muende mkapate ubatizo.
 
We bwana weee mambo ya movie hayoo mchawi mkubwa wa kifaru ni yale ma RPG na ant tank nyingine vile ukiona kwenye movie sijui adui kafunua " mfuniko" pale kawaingizia bomu humo humo sio rahisi kumbuka pale ndani wakishaingia wana lock maalum kwa ndani ambayo wewe kwa nje huwezi funua ule mfuniko sijui umenielewa lakini.?
 
Wewe umeanza kulawitowa na mapadri toka upo seminari jina lako tu unaonekana shoga nenda kajitibu bawasiri wamaishakuharibu Kanisani pia sasa hivi Kanisa linabatiza mashoga mwambie basha wako muende mkapate ubatizo.
Sio kila anayewapinga hamas ni mkatoliki wengine ndugu zao na watu walioteka we lingania Imani yako acha sisi tupambanie ndugu zetu ni kipigo tu mpaka wajambe hakuna negotiation na vigaid uchwara
 
Kumbe Hamas inaweza kuwa Jeshi Bora au la Sita Duniani
 
Vifaru viko vya miundo mingi sana na namna ya kujiokoa askari akizidiwa.Vya kisasa ndio unatoka kwa nyuma.
 
Hii clip nilisha ionaga sehemu ngoja niitafute ila ni nchi za kiarabu
 
Wametumia akili sana kwa hilo japo kuna zaidi wangefanya.
Huku uswahilini tungemwambia Israel Unao haoooo !
Kuwauwa hawazi kuwamaliza na kuwafukuza hana pa kuwapeleka.Wacha waendelee kupambana mpaka atachoka mwenyewe.
 
 
Hii video clip in ya miaka kumi iliyo pita katika vita vya Syria.tuwe tunaweka vitu toka source inayoeleweka.nakupa mbinu yakubaini vitu kidogo unaangalia mazingira,zana (vifaru vya Israel nitofaut na hicho) pia quality ya clip.
 
Wajinga wachache kama wewe ndio mnaamini Israel ni taifa la Mungu.taifa la Mungu linaruhusu usodoma na gomora?
 
Hakuna vita ya ardhini tena street war isiyo na pilika kama hizo...

Israel lazima atakula hasara kama iliyomkuta Russia kwa kupigana vita mtaani tena mitaa ya eneo la kigeni...
Urusi amepata hasara gani?wakati amechukua maeneo.
 
Ostaz unapambana sana aisee.Hongera.Ila tangu dunia iwepo ugaidi haujawahi kufanikiwa.Dawa ya gaidi ni kuuwawa.Hamas ni magaidi wauliwe tu hakuna namna nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…