Pre GE2025 Askari wa Jeshi la Polisi athibitisha jinsi wanavyosaidia kuiba kura ili CCM ibaki madarakani, ni aibu!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ingekuwa vizuri ungeweka kipande cha mwanzo mwa mazunguzo yake ndiyo tunaweza kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kuhukumu kauli za afande.
Kipande Cha mwanzo Cha hiyo video ni kibaya zaidi, ni Bora alivyoikata hiyo video na kuwa fupi kama hivyo ilivyo.
Mwanzoni mwa hiyo video huyu Polisi alikuwa ameshika Kitabu Cha Katiba ya CCM au Ilani ya Uchaguzi ya CCM, na kisha alikuwa anafanya kazi kama ya kuinadi Katiba)Ilani hiyo ya CCM kwa Wananchi na Askari Polisi wengine waliokuwa wakimsikikiza. Yaani ni hovyo kabisa.
 
ameshtaafu huyo.
Kuna afande mmoja manyota sana walimtemesha kwenye nafasi alipokuwa na kumpeleka kuwa 'balozi wa nyumba kumi', amesema atamwaga unga wakati sahihi ukifika.
Saaafi kabisa Ndugu yangu namuombea uzima
 
Kumbe jamaa ni empty
 
Muibiwe tuu kwani mna faida gani?
 
Kwa uelewa wako, Rais mama ni Samia, je alipigiwa kura?

Huyo Polisi ana makosa gani katika mahubiri yake?
 
Ingependeza sana kama Mwamba mmoja na Nguli wa Sheria angetafuta ufafanuzi wa utata huu kupitia Kesi ya Kikatiba ??!
 
Wanatoa ya moyoni yanayopangwa gizani ni mabaya zaidi ya haya
 
Mwakani kazi wanayo kweli kweli
 
Katika mazingira haya Mwakubusi alisema vyama vya upinzani havijajipanga kuchukua nchi kweli? watafanyaje wamebanwa kila kona na vyombo! no fair ground. Mwakubusi review kauli yako,au wape suluhisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…