green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Acha kiherehere wewe pakaKama ndio kanuni basi upuuzi mtupu huu. Nchi haiwezi kupiga hatua kwa kuingiliana majukumu. Kila mtu abaki na section yake. Huyo JWTZ asulubiwe kama watumishi wengine ili kujenga nidhamu na heshima kwa wafanyakazi wengine bila kujali cheo alichonacho. Kwasababu mfano hapo ikitokea ajali lawama kwa askari wa usalama barabarani wakati kumbe kuna mpuuzi mmoja kwasababu et ni JWTZ.
Ulikuwepo wakati paka anabananishwa au na wewe ni paka wa kikePolisi alikuwa anamuonya dereva lkn yule JWTZ kwa kimbelembele chake tu akaingilia
Mimi nakutwanga usinizoe.Acha kiherehere wewe paka
Alikuwa anamuonya kwa kosa gani? Kuna siku nilikuwa naenda Kigoma nikakaa siti nyuma ya dereva dirishani, aisee hawa trafiki police mpaka walinichukia kwa jinsi nilivyokuwa nawatolea macho na simu yangu tayari kuwapiga picha wakipewa rushwa!! Mpaka dereva na konda wake walinipa ofa ya chakula tuliposimama hotelini maana siku hiyo rushwa haikutoka kabisa. Sijawahi kuwaamini police kwenye kazi zao maana 80 % wanasimamisha magari ili wapate mlungulaPolisi alikuwa anamuonya dereva lkn yule JWTZ kwa kimbelembele chake tu akaingilia
Degree holders mbona hata PGO wengi hawaijui? Kama wamesoma mbona hakuna any transformation yoyote kwenye hilo jeshi?Ilikuwa zamani hiyo mkuu. Polis siku hizi wengi ni degree holders. Lkn jeshini Kuna mijtu imejiunga juzi tu hapa eti kisa ina nguvu za kunyanyua vyuma
[emoji1787]Degree holders mbona hata PGO wengi hawaijui? Kama wamesoma mbona hakuna any transformation yoyote kwenye hilo jeshi?
Kazi ipi hiyoo?Huyu JWTZ alitaka polisi asifanye kazi yake kisa tu yeye ni abiria ktk Hilo gari
Forensic ipi wakati mara nyingi utasikia marehemu amekufa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali? Au ameuwawa/kupigwa risasi na wasiojulikana?Wale wanaotafuta fingerprints kwenye kifaa kilichotumika kwenye mauaji wamesoma forensic chemistry mkuu
Uchunguzi hapa bongo nitatizoForensic ipi wakati mara nyingi utasikia marehemu amekufa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali? Au ameuwawa/kupigwa risasi na wasiojulikana?
Pita kuleeee.. In Nesi Shirima voice kwa jamaa wa maabara [emoji23]Mod futa huu upuuzi
PolisiHivi kati ya JWTZ na Polisi kina nani wanafanya kazi kubwa hapa nchini?
Wapo wasomi pia JW , em acha zakoInasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
ww tu ndo huna jibu, hakuna swali lisilo na jibuHilo swal lako halin jibu zaid vtu/kaz hutegemeana
Heshimu na fata taratb za kaz sehemu husik
umenena vyemaPolisi
Hqaaaaaa nyauHata mimi siwezi kuelekezwa na paka!
Unaonywaje na Paka?Hqaaaaaa nyau
Haiwezekan kabisa tena paka shumi ,weziUnaonywaje na Paka?
Acha waonewe tu hivi hujawahi kuingia anga la polis ukaona mziki wake..ukweli binafsi hata nikikuta polis kapata ajali Huwa nafurahi moyoni..tena kuita paka ni huruma piaLkn ktk hili polisi kaonewa.