- Thread starter
- #121
Yule JWTZ alitaka kuonesha cheo chake. Na wala haikuwa na sababu.""Unyenyekevu ktk maisha ni kitu muhimu sana,hupungukiwi chochote.""
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule JWTZ alitaka kuonesha cheo chake. Na wala haikuwa na sababu.""Unyenyekevu ktk maisha ni kitu muhimu sana,hupungukiwi chochote.""
La saba wako wengi tuIla kwenye elimu upo sahihi
Jw wanaajiri mpaka la saba.
NakaziaVideo ikowapi? Moderator futeni huu upuuzi
Sana Nadhani Ni NjanuaryHii January aisee watu wanakuwa na makasiriko aiseee.
polisi usomi wao nn?Inasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
bila polisi hakuna maduka mabasi mabenki bila jeshi hakuna mipaka wote wako vizuliHivi kati ya JWTZ na Polisi kina nani wanafanya kazi kubwa hapa nchini?
wewe unajua tabia ya wanajeshi wewe nenda rugalo makongo uhasibu gongo la mbotohujui walianzia wapi hii video ni fupi! kwanza TRAFIKI anakosa adabu kibishana na mtu aliyemzidi cheo mbele ya RAIA
Kwanini wafute..?Video ikowapi? Moderator futeni huu upuuzi
kipi cha udongo na kipi ghorofa?Bro! unalinganisha kibanda cha udongo na ghorofa halafu unauliza kipi chenye thamani!
Mi sijaulizia umuhimu, nimeulizia ukubwa wa kazi.Nchi hii kila mtu au mfanya kazi ana umuhimu wake. Polisi ni muhimu, mwanajeshi ni muhimu, watumishi wa afya ni muhimu, magereza ni muhimu, wasafishaji wa barabara, choo, majumba n.k. ni muhimuwalimu ni muhimu. Kwa kifupi kazi zote za taaluma ni zisizo za taaluma ni muhimu kwa sababu tunategemeana ili kila mfanya kazi kutimiza wajibu wake.
Imesambaa wapi?Wewe ndio mpuuzi tena zuzu,clip imesambaa km wewe hujaiona shauri yako.
Mipakani si kuna wanajeshi % ndogo sana wengi wapo humu kambini bara.....Kwamfano wale wajeda pale Lugalo wana kazi gani?bila polisi hakuna maduka mabasi mabenki bila jeshi hakuna mipaka wote wako vizuli
😁 Eti PGO! 😂😂😂polisi usomi wao nn?
Kinidhamu askari wa barabarani kakosea!Nimeiona hii video askari amemvumilia sana mm basi zima ningeenda nalo police then from ther ndo ningeona huyu mwamba kalalia wapi
Umesahau Simbachawene alisemaje kuhusu vigezo vya ajira ya polisi?Inasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu