marehem x
JF-Expert Member
- Dec 28, 2022
- 513
- 792
Alionya nini... Mwanajesh akionywa ni sahihiLkn ktk hili polisi kaonewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alionya nini... Mwanajesh akionywa ni sahihiLkn ktk hili polisi kaonewa.
Nidhamu ya kijinga.haijalishi ni polisi au JW ni dharau kujibishana na aliyekuzidi cheo
tungoje hadi mwaka 3700 sio?Ngoja vita itokee ndio utajua kazi ya JWTZ huku wewe umelala na mkeo nyumbani wenzio wanakwenda kwenye mvua ya risasi
Yah upo sahihi kabisa kuna watu wana elimu nzuri na kuna vyuo huwa wanafundisha kwa muda tu.Wewe nani kakuambia.Unakumbuka waongoza ndege waligoma JWTZ wakaenda kamata usukani airport? Unakumbuka madaktari waligoma Muhimbili wakaenda kamata usukani? Unakumbuka meli ya Ukerewe ilipinduka JWTZ wakaenda igeuza? Vita vya Kagera Iddi Amini alivunja daraja likajengwa lingine kwa muda mfupi? Wewe ulikuwa hujazaliwa
Jeshini ni wasomi mno kuna degree za phD na maproffesor wapo wa kumwaga yupo mmoja anaitwa Brigedier general dr??? Namuhifadhi jina lake.
Hakuna fani uraiani jeshini haipo
Wewe unaonekana ndio mbumbumbu na hujapitia jeshi
Bro! unalinganisha kibanda cha udongo na ghorofa halafu unauliza kipi chenye thamani!Hivi kati ya JWTZ na Polisi kina nani wanafanya kazi kubwa hapa nchini?
MPUUZI NI WEWEVideo ikowapi? Moderator futeni huu upuuzi
Hata polisi alipompa onyo yule askari wa JWTZ kuwa aache kufanya hivyo yule askari alijibu "huwezi kunionya mm paka wewe".[emoji3064][emoji3064][emoji3064]Kuna clip inasambaa kwa kasi mitandaoni ikimuonesha askari wa usalama barabarani akifanya kazi yake lkn askari wa JWTZ anaingilia kazi ya polisi.
Hata polisi alipompa onyo yule askari wa JWTZ kuwa aache kufanya hivyo yule askari alijibu "huwezi kunionya mm paka wewe".
Kwa utovu huu wa nidhamu uliooneshwa na askari wa JWTZ hatua za kinidhamu na kiutumishi zichukuliwe haraka sana dhidi ya huyu askari wa JWTZ ili kuendelea kulinda hadhi na heshima ya jeshi la wananchi.
View attachment 2482212
Kuwa mpole siku hizi kuna JamiicheckVideo ikowapi? Moderator futeni huu upuuzi
Constebo wa polisi awapo kazini anaweza kumhoji mtu yeyote hata kama ana cheo kikubwa kuliko yeye, isipokuwa awe na heshima katika kufanya hivyo. Tunaposema hakuna aliye juu ya sheria hiyo ndiyo maana yake halisi. Hata mkuu wa majeshi anaweza kuhojiwa na polisi wa cheo cha chini kama yuko katika kutimiza kazi yake. Nafikiri wanaodhani kuwa mwanajeshi au mwenye cheo cha juu hahojiwi ni wale ambao hawajapitia kazi ya uaskari kama vile JKT.Lugha za kijeshi hizo hata samia ana jina la mnyama, wapo faru, tembo, poongo na huyo dogo mjeshi ni paka anampa mkwara panya!
Niutovu wa nidham constebo wa polisi kumzingua jwtz.
Naomba popote ukiona jwtz muwanunulie bia
Awaachie nafasi na wengine wakaleweSasa umeridhika mwenzako kupoteza kazi.Huyo alilewa tu.Sasa subiri aanze kutumia taaluma ya kijeshi kutafuta Pesa atajuta kwanini hamkuvumilia Matusi
Nchi hii kila mtu au mfanya kazi ana umuhimu wake. Polisi ni muhimu, mwanajeshi ni muhimu, watumishi wa afya ni muhimu, magereza ni muhimu, wasafishaji wa barabara, choo, majumba n.k. ni muhimuwalimu ni muhimu. Kwa kifupi kazi zote za taaluma ni zisizo za taaluma ni muhimu kwa sababu tunategemeana ili kila mfanya kazi kutimiza wajibu wake.Hivi kati ya JWTZ na Polisi kina nani wanafanya kazi kubwa hapa nchini?
Kwenye makosa cheo weka pembeni. Ndiyo nimyi mnadhania dereva wa gari la mkubwa au mkubwa mwenyewe hatakiwi kupewa tiketi au kusimamishwa akikosea. Sijui katika kutenda hayo makosa ataua utamuachia kwa sababu ana cheo cha juu. Kuwa mwanajeshi au mkubwa siyo kinga yas kutpofuata sheria, ama sivyo TZ itakuwa nchi ya "man eat man".hujui walianzia wapi hii video ni fupi! kwanza TRAFIKI anakosa adabu kibishana na mtu aliyemzidi cheo mbele ya RAIA
Yaani umvumilie kwa sababu akifukuzwa atakuwa mwizi. Utavumilia wangapi? Kama kuna kazi inataka nidhamu ya hali ya juu kuliko zote jeshi ni mojawapo. Ndiyo maana mwajajeshi anaambiwa tii amri kwanza maswali baadaye. Kumbuka kosa dogo la nidhamu linaweza kuletelezakufagiwa kikosi kizima au hata kuleteleza nchi ikatekwa kwa sababu ya ya mjinga mmoja asiye na nidhamu.Sasa umeridhika mwenzako kupoteza kazi.Huyo alilewa tu.Sasa subiri aanze kutumia taaluma ya kijeshi kutafuta Pesa atajuta kwanini hamkuvumilia Matusi