- Thread starter
- #21
Hahaha! Hatari sanaHata wewe pia mtoa mada ni paka tu na huna cha kunifanya hahahah( jokes)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Hatari sanaHata wewe pia mtoa mada ni paka tu na huna cha kunifanya hahahah( jokes)
Wewe Akili zero JWTZ ndio linaongoza kwa wasomi sasa hivi JWTZ hauingii na division 4, police division zero na darasa la saba zipo za kutosha na bado wanaendelea kuchukua vihiyoInasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
Polisi gani wasomi???Inasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
Ilikuwa zamani hiyo mkuu. Polis siku hizi wengi ni degree holders. Lkn jeshini Kuna mijtu imejiunga juzi tu hapa eti kisa ina nguvu za kunyanyua vyumaWewe Akili zero JWTZ ndio linaongoza kwa wasomi sasa hivi JWTZ hauingii na division 4, police division zero na darasa la saba zipo za kutosha na bado wanaendelea kuchukua vihiyo
ameingiliaje, fafanua, au ni ile kusimamishwa na traffick kama tulivyozoea namna wanavyoonea watu barabarani huko. kama Mungu amekujalia unamiliki gari, utakuwa unaelewa na kuwafahamu hawa viumbe. inawezekana askari wa jw alikasirika tu kutokana na traffick kumdharau wakati kicheo JW ni mkubwa kwake. tangu lini traffick police akamuonya JWTZ? tangu lini. si ndio kumkosea heshima hapo.kwanni asimwite nyau?Na hasa kosa hapa ni la huyu askari wa JWTZ. Kwann aingilie majukumu ya polisi?????
haijalishi ni polisi au JW ni dharau kujibishana na aliyekuzidi cheoCheo kitu gani bwana, fikiria baba yako aliekuzidi cheo na umri akija nyumbani kwako na akaanza kuingilia nafasi yako ukiwa kwako utajisikiaje?
weka clip tuone.Lkn ktk hili polisi kaonewa.
Mwaka Jana police walitoa tangazo la kazi wanahitaji watu wenye ufaulu wa division 4Ilikuwa zamani hiyo mkuu. Polis siku hizi wengi ni degree holders. Lkn jeshini Kuna mijtu imejiunga juzintu hapa eti kisa yana nguvu
Naunga mkono Hoja,,Wewe Akili zero JWTZ ndio linaongoza kwa wasomi sasa hivi JWTZ hauingii na division 4, police division zero na darasa la saba zipo za kutosha na bado wanaendelea kuchukua vihiyo
na mwenye dharau/asiye na nidhamu haponi traffick.haijalishi ni polisi au JW ni dharau kujibishana na aliyekuzidi cheo
Forensic , IT, upelelezi, n.kPolisi gani wasomi???
Why mkuu?na mwenye dharau/asiye na nidhamu haponi traffick.
utapelekaje form six au division one police? wote wale unaoowaona ni mafeliya.Mwaka Jana police walitoa tangazo la kazi wanahitaji watu wenye ufaulu wa division 4
kwasababu JW ana cheo kikubwa kuliko trafficWhy mkuu?
JWTZ kuna wanaoandika kwa shida hata majina yao. Ukitaka ushahidi njoo pmMwaka Jana police walitoa tangazo la kazi wanahitaji watu wenye ufaulu wa division 4
Lkn polisi alikuwa hamkagui huyo JWTZ. Kiherehere chake tu.kwasababu JW ana cheo kikubwa kuliko traffic
Huoni ganzi forensic gani,IT??Forensic , IT, upelelezi, n.k
si ukute jwtz alikuwa anamtetea raia dhidi ya police hapo. ndo maana tunaema weka clipLkn polisi alikuwa hamkagui huyo JWTZ. Kiherehere chake tu.