- Thread starter
- #61
Wewe utakuwa ni mtoto wa yule JWTZ. Mbona makasiriko??Mod futa huu upuuzi
Una hofu dingi yako kibarua kitaota nyasi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa ni mtoto wa yule JWTZ. Mbona makasiriko??Mod futa huu upuuzi
Polisi huwa wanatumia maswali babaifu ili kumbaini mhalifu.
Walimwambia dereva piga honi, washa taa, leta leseni yako, n.k. JWTZ akaanza kumuwakia polisi eti anawachelewesha bure. Ndiyo yule polisi akasema "nakuonya". JWTZ akamuita paka yule polisi
Wewe nani kakuambia.Unakumbuka waongoza ndege waligoma JWTZ wakaenda kamata usukani airport? Unakumbuka madaktari waligoma Muhimbili wakaenda kamata usukani? Unakumbuka meli ya Ukerewe ilipinduka JWTZ wakaenda igeuza? Vita vya Kagera Iddi Amini alivunja daraja likajengwa lingine kwa muda mfupi? Wewe ulikuwa hujazaliwaInasemekana polisi ni wasomi kuliko JWTZ.
JWTZ wengi ni mbumbumbu
NIDA sina, mwaka wa 3 sasa nasubiria mkuuWatazipeleka NIDA. Kule itaoana na kitambulisho chako cha NiDA, simu cards zako zote na kitambulisho cha uraia
Mfano Mzuri ni Jana Saa Sita Usiku Pale Kwenye Mataa Sea view, Kabla Hujayafikia Yale ya Salender, Mi Nimeona taa Imeniruhusu na Kuna Jamaa Anae akawa Anakuja Wangu Wangu, Kidogo Ajali Itokee, Yule Traffic Alivyo Mpuuzi Akataka Kuniuzia Kesi Eti Nisimame, Sikusimama, In short Traffic Ni Kero Sana BarabaraniPolice wana lugha mbaya sana, waonevu sana na sio waelewa. wengi wanawaza rushwa tu muda wote na hata wakati mwingine kwa watu wanaofanya nao kazi huwa hawawaheshimu. kifupi polisi huwa sio wa kuwaamini, wote hata kama ni mtoto wako usimwamini,ni mtu anawea kukuchinjia baharini anytime. ndio maana wengi huwa hawaumii moyo kama polisi akitukanwa namna hii. wanaona poa tu. ni kutokana na matendo yao. ni tofauti kabisa na polisi wa mamtoni.
Ngoja vita itokee ndio utajua kazi ya JWTZ huku wewe umelala na mkeo nyumbani wenzio wanakwenda kwenye mvua ya risasiHivi kati ya JWTZ na Polisi kina nani wanafanya kazi kubwa hapa nchini?
Wanaingia wasomi coz ajira ngumuMamburula wote jeshini ndio wanaishia hivyo na wengine wameshastaafu,jeshi la sasa hivi ni la wasomi..sasa hivi huwezi kuingia JWTZ na division 4 kule wanaingia watu wenye taaluma zao.
Kwani jw wanawachukua div ngapi ww jeshi nguvuMwaka Jana police walitoa tangazo la kazi wanahitaji watu wenye ufaulu wa division 4
Dunia imebadilika hakuna kutumia nguvu tenaKwani jw wanawachukua div ngapi ww jeshi nguvu
We jamaa fyuzi imekata kichwaniLugha za kijeshi hizo hata samia ana jina la mnyama, wapo faru, tembo, poongo na huyo dogo mjeshi ni paka anampa mkwara panya!
Niutovu wa nidham constebo wa polisi kumzingua jwtz.
Naomba popote ukiona jwtz muwanunulie bia
Mjeshi ni staff surgent... I can see starLugha za kijeshi hizo hata samia ana jina la mnyama, wapo faru, tembo, poongo na huyo dogo mjeshi ni paka anampa mkwara panya!
Niutovu wa nidham constebo wa polisi kumzingua jwtz.
Naomba popote ukiona jwtz muwanunulie bia
Safi Sana mkuuHuyo mjeshi anamakosa.
Na pale alihesabika kama Raia na sio mjeshi,