Kabisa mamiie... kifo ni kigum mno kwa vijana wadogo namna hiyo.. wanaacha watoto yatima..Dunia ni kubwa sana, kama hutaki kumuona mtu hama Kaanze maisha mapya.
92 kj ni kikosi cha makomandoo...inamaana jamaa alikua ni comandoo
Mkuu nimekuwa nikiteseka sana juu ya vile watu 'wanakuchopea' kwa kukosa teuzi za mkulu wa nchi ya ahadi nyingi.Bora hata nimeona uwepo wako,nimefarijika.Kitu kunachoitwa karma, hakina mswalie Mtume!. Kila mtu atahukumiwa kwa
Matendo yake.
P
Ngerengere hyo sio.92 kj ni kikosi cha makomandoo...inamaana jamaa alikua ni comandoo
Iman tu hzo yey mwenyew alikunywa sumu afe sasa karma imetokea wapi hapo mkuu paskali?Kitu kunachoitwa karma, hakina mswalie Mtume!. Kila mtu atahukumiwa kwa
Matendo yake.
P
[emoji120][emoji120]Dunia ni kubwa sana, kama hutaki kumuona mtu hama Kaanze maisha mapya.
mbona wote kabila mojaDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.
Ataagwa kesho Lugalo Jeshini kabla ya mwili kusafirishwa kwa maziko Mkoani Mara
Alilazwa Hospitali ya Mloganzila kwa Matibabu baada ya kunywa sumu
Sasa komandoo gani anakuwa ana hasira za kike,kiasi hicho?yaani mkeo kapigwa pipe?wewe unaua,!mambo ya kifala sana,misambwanda imejaa kibao mtaani!92 kj ni kikosi cha makomandoo...inamaana jamaa alikua ni comandoo
Wote kabila mojaDada zetu muwe mnaangalia na watu wa kuolewa nao kuna makabila sio.