Askari wa JWTZ kizimbani kwa kukaidi amri halali ya askari wa Usalama Barabarani

nenda pale mwenge kalibu na tra kuna kota zao ukacheke walivio lundikana kama nyaya kwenye tenga
 
Sikia maskari wote ni iron boy according to plato..iron boy ni watu wenye akili ndogo wanaotumia nguvu sana badala ya akili..ndio kilichotokea juzi
Sio kweli kwa zama za Sasa
Wapo watu wameingia kwa Shule wengi tu.

Halafu vyeo vina mambo mengi ila nakubali huyo mwamba kaharibu na kutokuwa na shule au exposure vimechangia.
 
Nafikiri ni MAGEREZA TANZANIA
😂🤣😅
Subiri nikachekee nje Mkuu
 

Kabisa jamaa amefanya watu wafungue turbo ,hatuwadharau ila tunaongea uhalisia wenyewe ,yes wakubwa wanakaa upande wa juu wa makongo ,mimi nilikuwa naenda kumtembelea rafiki yangu afande chinga yaani zile kotaz acha tu hadi aibu.

Kuna Dogo ni soja yaani hadi kumlipia mwanae school fees alishindwa ikabidi ampeleke kayumba,yaani hao jamaa wanapata hela kama unavyosema kukiwa na vijisafari hivi ndipo wanapopata boom kidogo otherwise kwa salary yenye makato kibao ya mikopo wanabaki hawana kitu.
 
Zamani wanajeshi walikua wanakwambia nitakupiga mpaka unitajie namba yangu ya Jeshi.
Siku hizi wanamenyeka vizuri hadi namba zao za Jeshi wanazitaja wenyewe. Chezea Askari Polisi nini?
 
Sasa Kayumba si mdiyo shule zetu mkuu? Hivi itawezekana kweli kila mtanzania anayepokea mshahara apeleke mtoto wake Private??
 
Sure na hiyo ndiyo sera yao ,jeshi ni nidhamu ,hawa unawaoona wanaotishia watu mitaani ni wale ambao "SHULELESS".
 
Aisee, wewe haulijui Geshi
 
Unaita watu takataka ? Mimi nimezaliwa jeshini na ninaandika hapa nikiwa kambini, hawana pesa

Angekuwa na pesa asingeendesha hilo li Nissan la miaka ya 90
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee mtu khaaaah
 
Hata huko TISS utawakuta wenye njaa kibao tu.
Unadhani ni wangapi wanaopata hizo nafasi kwenda kwenye hivyo vitengo vingine.

Kifupi ukiingia Fanya kazai kama mzalendo na jishushe mbele ya jamii.
 
Nitafutie connection huko mgodini jamani. Uwiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Elimu yake na huyo trafiki haiwezi kutofautiana; pia wote malimbukeni.

Alisimamishwa kwa kuwa hakuwa kavaa sare za jeshi.
hivi jamaa angesimama tu,wakaongea vizuri kitumishi tu na akaomba radhi angepungukiwa nini,huenda hata asingelipishwa faini,tena wangekuwa marafiki na huuo trafiki,nimeamini kujishusha kunainua.

Kama ameshtakiwa mahakama ya kiraia,maana yake kuna mengine yatampata lazima.
 
Kuna mmoja asubuhi tunawahi uwanjan mida ya sasa kumi na mbili alivalishakoti kwenye kiti bahati mbaya Basi imebeba wa kubwa hili hapa linapita Kushoto kwetu. Niliona akiwa Ana haha kulitoa koti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…