Askari zaidi 30 wa Israeli wafariki katika uvamizi wa Lebanon kusini

Mimi nilisema wako 100 walio kufa time ile walisema 10 naona wanasogea tutafika 100
 
Netanyahu huko alipo anazidi kutetemeka kiburi chake na majngambo kujisifia kuuwa viongozi wa Hamas na Hezbollah, sasa apokee msiba wa mkuu wake wa Majeshi😀
Vyombo vya habari vya israel vinasema hajauawa ni uzushi(jerusalem post)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…