Uchaguzi 2020 Askofu Bagonza aitaka NEC isitumike kudhulumu Watanzania

Hawa Viongozi Wa Dini Serikali iKiamuaa kuwachunguza wanamadahifu mengi sana Wanakula waumini Wanafuja sadaka ila kwa sababu Magu sio Mbeya kakubali kila MTU aubebe mzigo wake mwenyewe
 

Kuliko jiwe?
 
Na hawa wa makanisani wangekaa kimya kuhusu siasa au Serikali ingewasweka kama mashehe wa Uamsho, maana nao siasa ziliwaponza baada ya kuhangaika na dini zao.
We ng'ombe yani Kutetea HAKI ndio siasa???? Kweli misukule ya lumumba mnashida kubwa sana
 
Hapo unaposema watanzania hawawezi kufanya vurugu ndio mnapokosea mnawachukulia POA Sana.
 
Na hawa wa makanisani wangekaa kimya kuhusu siasa au Serikali ingewasweka kama mashehe wa Uamsho, maana nao siasa ziliwaponza baada ya kuhangaika na dini zao.
Bogus. Angemuunga mkono Magufuli pia ungeongea hivyo.
 
Ingekuwa waislamu sasa wako police kuhojiwa
 
Kenge hasikii mpaka damu imtoke masikioni.

Ngoma wataicheza wote. Mda ni mwalimu mzuri. Ameeeeen.
 
Tulia dawa ikuingie japo chungu
Na hawa wa makanisani wangekaa kimya kuhusu siasa au Serikali ingewasweka kama mashehe wa Uamsho, maana nao siasa ziliwaponza baada ya kuhangaika na dini zao.
 
Nimemvulia kofia huyu Baba Askofu. Maneno yake yanachoma mpaka kwenye roho.
 

You are very right and I have no problem with your suggestion...

Hata hivyo, kwani kuna mtu kakuambia atafanya vurugu? Umeyapata wapi haya?...
 
Baba askofu yupo sahihi kwa asilimia mia , tume inapata wapi mamlaka ya kupitisha watu eti wamepita bila kupingwa ? Katiba inasema viongozi wote watapata mamlaka kutoka kwa wananchi sio kutoka tume ya uchaguzi muwe mnaelewa kijani kibichi .
 
You are very right and I have no problem with your suggestion...

Hata hivyo, kwani kuna mtu kakuambia atafanya vurugu? Umeyapata wapi haya?...
Kwani wewe hujawasikia? Mbona mara nyingi tu wamesema , pitia clip zao you tube.
 
Ni kweli ila hao ni wawakilishi tu wabunge, viongozi ni Rais na maRC na ma DC ambao ndiyo wenye mamlaka ya uongozi. Wakuu wa mikoa/wilaya tunachaguliwa hatuwachagui sisi. Kweli Tz bado hadi wabunge tunachaguliwa achilia mbali viongozi wakuu wa mikoa na wilaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…