The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Asante sana Bishop.
Hili ni somo zuri sana kwetu sote na hususani NEC na ZEC.
Umenikumbusha jambo moja kuhusu mitume 12 wa Yesu Kristo.
Baada ya Yuda Iskariote kujitenga na wenzake kwa usaliti wake kwa Bwana, walibaki 11.
Kufanya replacement ya Yuda Isakariote, demokrasia ilitumika na Mathias akachaguliwa na kujaza nafasi hiyo.
Mungu ndiye muumba na mwenye uwezo wote. Angeweza kutumia mamlaka na nguvu zake kumteua yoyote aliyemtaka.
Lakini aliacha watu wanaoongozwa wachague wenyewe wamtakaye lakini chini ya "guidance" ya Mungu Roho Mtakatifu.
Sijui NEC na ZEC wanakwama wapi ku - play role yao ya kutoa "guidance" njema na fair ili watu wajipatie viongozi watakaoshirikiana nao ktk shughuli zao za kila siku.
Asante sana Bishop. Wewe u mkweli na huu ndiyo Utumishi wa kweli wa Kristo Yesu anaoutaka, kuongea UKWELI bila woga.
Hili ni somo zuri sana kwetu sote na hususani NEC na ZEC.
Umenikumbusha jambo moja kuhusu mitume 12 wa Yesu Kristo.
Baada ya Yuda Iskariote kujitenga na wenzake kwa usaliti wake kwa Bwana, walibaki 11.
Kufanya replacement ya Yuda Isakariote, demokrasia ilitumika na Mathias akachaguliwa na kujaza nafasi hiyo.
Mungu ndiye muumba na mwenye uwezo wote. Angeweza kutumia mamlaka na nguvu zake kumteua yoyote aliyemtaka.
Lakini aliacha watu wanaoongozwa wachague wenyewe wamtakaye lakini chini ya "guidance" ya Mungu Roho Mtakatifu.
Sijui NEC na ZEC wanakwama wapi ku - play role yao ya kutoa "guidance" njema na fair ili watu wajipatie viongozi watakaoshirikiana nao ktk shughuli zao za kila siku.
Asante sana Bishop. Wewe u mkweli na huu ndiyo Utumishi wa kweli wa Kristo Yesu anaoutaka, kuongea UKWELI bila woga.