Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Umenena Baba na Dkt wa ukweli. Jiwe anawazuga wasio na AKILI bali wana IMANI isiyo na AKILI. katika Biblia mtumishi wa MUNGU Nuhu alitii alipoambiwa ajenge Safina vinginevyo hawaponi maana Mungu ataleta Gharika. Nuhu angeweza kusema, "Sijengi maana hata hiyo gharika ikija Mungu atajua namna ya kutuokoa" Lakini kwa vile alikuwa na Imani na Akili alijenga safina na alipona kwa kuwa ndani ya safina.

Mtu wa Mungu mmoja aliwahi kusema siku tukifika mbinguni tutashangaa kutowaona tuliowategemea na kuwaona tusiowategemea. Maana yake kuna watu tunawaona kama wana imani kwa Mungu lakini Mungu hawatambui maana wamejisahau na kushindwa kujua mapenzi ya Mungu ni yapi.

Lakini pia kuna watu tunawaona kama vile hawamtegemei Mungu kivile, wanavaa barakoa, wanaenda hospitali, wanaweka walinzi kwenye nyumba, wanalima mazao na tunajiuliza "ina maana hawa hawana imani na Mungu wao kwamba atawaponya, na kuwalinda hadi wavae barakoa na kunawa mikono kuogopa Corona?"
 
Dr Baba Askofu yuko vizuri PhD yake haina mashaka wala hatuwezi kuhoji alisoma chuo gani na alipata alama gani wakati akichukua BA,MA na PhD.
Yupo vizuri kichwani huyu Dkt. Na uzuri wake huwa hatetereshwi na mtu katika misimamo yake. Hata Yesu pamoja na uwezo wote wa Ki-Mungu alionao alimkatatia Shetani aliyemwambia ajitupe chini toka mnarani maana Mungu atamlinda asipate madhara. Alimwambia, "Shetani ondoka kwangu, maana imeandikwa usimjaribu bwana Mungu wako"
 
Ukimfuata Jiwe utalala mlango wazi. Hamna kitu kichwani. Sasa kwa nini alikimbilia mafichoni?
 
Huu ni utetezi tu. Kipindi hiki ndio kipindi mahsusi cha kuudhihirisha uwezo wa Mungu huyo anaemhubiri. Ukuu wa Mungu haudhihirishwi na hadithi za maandiko tu. Maandiko pekee ndiyo yanayoweza kudhihirisha nani yuko sahihi na kwa misingi gani. Malumbano ya kurushiana maneno hayasaidii lolote.
 
Ujue UDSM wana mpango wa kumpa u proffesor bwana jiwe

Dark Side
 
Hizi ni tungo huru wala hazimlengi yeyote.

Tungo za namna hii ni za kufikirisha hata kwa wao Wstumishi wa Mungu kujiuliza kwanini nyumba za Ibada hufungwa nyakati za usiku na kufunguliwa alfajili/Siku za ibada?.

Ni hofu tu ya mauti na uzima baada ya mauti ndio inayotufanya binadamu kuwa na Imani kwa kutumia Hekima/Akili tuliopewa na Mwenyezi Mungu.

Tukitumia Hekima/Akili vizuri na kuishinda hofu hakika tutashinda umauti wa milele kwani tutazaliwa katika upya mara nyingi zaidi.

Amani ni zao la Imani na utii wa mamlaka.
 
Wewe ni wa "mwilini" huwezi jua mambo ya "rohoni" kwahiyo unaposema adhihirishe nguvu za mungu its as if zipo kariakoo unaenda kuziokota tu, hujui ni suala la imani, pimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…