MWEMBEKIUNO
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 1,877
- 2,489
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiri ndio nini?askof aliyekengeuka. Kuna ubaya gani kutumia akiri hizi hizi tulizopewa kumtegemea Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kwa mtazamo wangu IMANI uanza ndipo zinafuata AKILIa Askofu Bagonza
AKILI na IMANI
Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?
Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.
Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:
1. Tunajenga nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.
2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.
3. Tunafuga mbwa wakali, licha ya kuwa na uzio.
4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.
5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.
6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.
7. Usiku tunaamka mara tatu tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.
Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.
Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
"Corona ni homa ya kawaida....."Asilimia 90 ya vitu alivyoviorodhesha mimi sina katika hivyo mimi nina Akili na Imani tu.
Barakoa sivai ndani sijifungii na Corona sipati hii homa imekuzwa sana kuliko uhalisia wa madhara yake.
Corona ni homa ya kawaida ambayo naamini asilimia kubwa ya watanzania wamewahi kuugua kabla lakini walikuwa hawajijui lakini baada ya kuwapata wazungu na kuwaathiri sana ndio shida ilipoanzia.
Mtumishi fanya kazi ya Mungu achana na siasa Watanzania tuchape kazi.
HONGERA JPM NAIPENDA TANZANIA
Amekengeuka nini? Na.kwenye huo uzi ni wapi amesema.usitumie akili kumtegemea Mungu?askof aliyekengeuka. Kuna ubaya gani kutumia akiri hizi hizi tulizopewa kumtegemea Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila anapita kwa kiwango chake. Sijui kama hili ni LA kumjaribu Mungu au ni la kumtukuza. Kama unajua neno lake linasemaje na unamfuata kwa uaminifu kumjaribu ndio hasa tunalotkiwa kufanya.Kumuamini Mungu ndo ujitie hatarini atakuokoa?
Usimjaribu BWANA Mungu wako
Asante. Wewe ndiye unaejua na wa rohoni zaidi ingawa hauko rohoni. Matusi yako yanakusuta.Wewe ni wa "mwilini" huwezi jua mambo ya "rohoni" kwahiyo unaposema adhihirishe nguvu za mungu its as if zipo kariakoo unaenda kuziokota tu, hujui ni suala la imani, pimbi
Ndio silaha za madikiteta uchwara hizo!!! Vitishooo, ili ukweli usisemwe
Mfano kama wew ungekuwa tajiri ungeikubali kazi ya kujitoa ufahamu kwa malopi ya buku 7?
Mtu anaemtambia Mungu anatembea na ulinzi mzito... kwanini hatembei peke ake Mungu amlinde?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimfuata Jiwe utalala mlango wazi. Hamna kitu kichwani. Sasa kwa nini alikimbilia mafichoni?
Punguza jazba jibu kwa HOJA kama umeshindwa kimya pia ni jibuHawa ndio maaskofu Malaya tu na hana adabu kabisa pimbi huyu, kwanza anathubutuje, pumbavu kbsa hili dudu na limeandika ili aibike nani kama halitaki lihamie huko kwenye lockdown, Mungu hapangiwi procedures.
Mungu wa KirarachaMungu ni mwema wakati wote
Rais Magufuli ni chaguo la Mungu!
kwakweli tupunguze lugha kali, Bagonza hajataja mtuKila anapita kwa kiwango chake. Sijui kama hili ni LA kumjaribu Mungu au ni la kumtukuza. Kama unajua neno lake linasemaje na unamfuata kwa uaminifu kumjaribu ndio hasa tunalotkiwa kufanya.
Neno lake linasema "
Asante. Wewe ndiye unaejua na wa rohoni zaidi ingawa hauko rohoni. Matusi yako yanakusuta.
a Askofu Bagonza
AKILI na IMANI
Hivi kipi kinaanza? Kipi kinawezesha kingine? Imani ndiyo inakuongoza kuwa na akili au akili inakuongoza kuwa na imani na kuitegemea?
Wanaopuuza umuhimu wa kutumia akili, wawaulize wazazi ambao kwa bahati mbaya wana watoto au jamaa waliopungukiwa na akili, kwa kuzaliwa au kupata tatizo hilo ukubwani. Zawadi kubwa, ya pekee na ya thamani aliyotupa Mungu ni akili. Tunaitumia kutambua na kufanya maamuzi. Hata imani tunayoienzi na kumwamini muumba wetu, tunawezeshwa na akili aliyotupa muumba huyo huyo.
Ndiyo maana pamoja na kwamba Mungu yupo:
1. Tunajenga nyumba na kulala ndani yake, hatulali nje ili Mungu atulinde.
2. Tunajenga uzio mkubwa kuzunguka nyumba, hatuaiachi nyumba ili Mungu atulinde.
3. Tunafuga mbwa wakali, licha ya kuwa na uzio.
4. Tunaajiri walinzi wenye silaha, kana kwamba uzio na mbwa havitoshi.
5. Tunaweka na CCTV kamera licha ya kuwa tuna walinzi, uzio na mbwa wakali.
6. Tunanunua na bima kubwa kuonyesha kuwa wizi bado upo licha ya kuwa tuna yote hayo.
7. Usiku tunaamka mara tatu tatu kuona kama walinzi wapo. Tunaajiri walinzi na wao wanatuajiri kuwachunga usiku.
Pamoja na yote hayo, Mungu aweza kutuchukua kutoka katikati ya ulinzi wote huo. Anatupa akili tuzitumie kujilinda, lakini anabaki na uwezo wa mwisho juu ya maisha yetu.
Hatuwezi kuacha kutumia akili eti kwa sababu yeye yupo. Na hatuwezi kutegemea akili tu eti kwa sababu akili katupa yeye. Imani na akili vyote ni mali ya Mungu, yeye katukabidhi tuvitumie.
TUSIHUKUMIANE na TUSILAUMIANE.
Uelewa wako ni kidogo mno!
Unaweza kulala Mlango wazi kwakuwa unamwamini Mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko upande wa Bangoza mtu mwenye PhD fake apashwi kupewa heshima