Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.
Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.
Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Propaganda za chanjo ya uviko-19 [emoji1787][emoji6]Ni eneo gani hasa Tanzania kwa sasa inafanya vizuri!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.
Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.
Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Mkuu hizi sarakasi zote ni kwa ajili ya kuliua tu shirika tena ikiwa limeshatumia gharama nyingi kufufuka.Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.
Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.
Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.
Source: Star tv habari!
Fast Jet, eagle air, Precision air nk. Zimefanyiwa mizengwe kupisha mapipa ya kayafa mwendazake, tutaachaje kuzihitaji?
Hivi ile ndege ya Rais tuliyoambiwa ikibidi tule majani iliishia wapi?Kama Mkurugenzi haheshimiwi na maamuzi atakayotoa pia hayataheshimiwa! Raisi anapanda ndege ya abiria only in Tanzania vituko haviishagi!
Kwanini wasiweke order ya private jets mbona ni bei ndogo kuliko hilo li bombadier la billions of money? Jets zinaanzia 10 billion TZS unapata ila kinachoshindikana sijui ni kitu gani mpaka raisi atembelee ndege ya 300B peke yake na walinzi wake
Huyu mama anafanya haya for what purpose, anabebana na watu wengi kwenye misafara yake wa kazi gani? kama ulichoandika ni kweli inashangaza, Samia ndio alitupigisha story za kuifufua ATCL kumbe ndio anaimaliza.Tatizo mama kachukua ndege kubwa na kuvuluga kila kitu kwenye usafiri Geza Ulole wewe ulisema mimi mwongo kuhusu ndege pale nilipo kuambia wafanyakazi wa Airport wanalalamika mama kutumia ndege ya biashara kama ndege yake binafsi
Ameharibu sekta ya usafiri wa anga.Fast Jet, eagle air, Precision air nk. Zimefanyiwa mizengwe kupisha mapipa ya kayafa mwendazake, tutaachaje kuzihitaji?
Unajua mara nyingi hizi sera za Ujamaa/ukomunist, huwa zinapenda 'monopoly ya serikali' karibu ktk shughuli zote za kuendesha nchi, na huwa hazitaki competition mbadala, zitakazoleta tija kutoka kwa watu wengine. Mkubali tu yaishe......Uletewe na nani
Unajua mara nyingi hizi sera za Ujamaa/ukomunist, huwa zinapenda 'monopoly ya serikali' karibu ktk shughuli zote za kuendesha nchi, na huwa hazitaki competition mbadala, zitakazoleta tija kutoka kwa watu wengine. Mkubali tu yaishe......Uletewe na nani
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Rais ndio anachangia hii kadhia maana anatumia ndege ambayo ingetumika kwa baishara yeye ana zunguka nayo kama mkoba wake.... zipo ndege za Rais ambazo ziko mbili na haziwekani zote mbili zikawa mbovu.... hata wakimtumbua huyu mkurugenzi kwa tabia hii ya Rais na watendaje wake wa ikulu na makamu na waziri mkuu kutumia ndge za ATCL kama mikoba yao hakuna kipya kitatokea kabisa.......Kama Mkurugenzi haheshimiwi na maamuzi atakayotoa pia hayataheshimiwa! Raisi anapanda ndege ya abiria only in Tanzania vituko haviishagi!
Kwanini wasiweke order ya private jets mbona ni bei ndogo kuliko hilo li bombadier la billions of money? Jets zinaanzia 10 billion TZS unapata ila kinachoshindikana sijui ni kitu gani mpaka raisi atembelee ndege ya 300B peke yake na walinzi wake
Rais ndio tatizo la kwanza kwenye ATCL...................Mashirika mengi yako hoi nadhani mama angefanya kitu, maana wakati mwingine ukiwapiga na kitu kizito kichwani wanaamka na kufanya kazi sawasawa , hata baada ya mwendazake kupunguza wafanyakazi including mke wa lukuvi lakini shirika bado liko hoi, kule sukumaland tunasema lilihoiiiii , walitakiwa kutafuta watu wenye uwezo na wataalam wa biashara ya masuala ya anga ndio wasaidie kulisuka shirika, kiukweli mihela mingi imewekwa pale hasa kununua ndege lakini hakuna faida yoyote , na huduma zinazidi kuzorota, wanashindwa hata na watu binafsi kina precision air, hawanaga strategy kabisa ndiomaana wakaua fastjet ili wasife lakini waaapi wanaendelea kuwa hoi tu