Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

YEHODAYA,
Mkuu hilo la kugawa hela bora ukae kimya tu, sasa hivi Magufuli anatembea na maburungutu ya hela anagawa kila mahali, yaani amemvuka hata Lowassa aliyekuwa anagawa huko kwenye nyumba za ibada.
 
Kisa tu mmepishana mawazo unaona mwenzako hana akili, mbogamboga mna vituko
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahangaika na huyu taahira wa lumumba?hawa kaz yao kuongea kwa hisia ukimwambia athibitishe hlo analozungumza atatoka kapa
Mkuu hilo la kugawa hela bora ukae kimya tu, sasa hivi Magufuli anatembea na maburungutu ya hela anagawa kila mahali, yaani amemvuka hata Lowassa aliyekuwa anagawa huko kwenye nyumba za ibada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo askofu ni bora tu angeanzisha chama cha siasa au awajoin chadema katika harakati
Kuna haja ya kuwarudisha mapadri,maaskofu na wachungaji wazungu.nyerere alikosea kuwaindoa mapema makanisani kwa kisingizio kuwa tumepata Uhuru kwa hiyo tuwe na mapadri,wachungaji na maaskofu watanzania.Matokeo yake ndio tumepata maaskofu Hawa type ya Bagonza

Wazungu hawakuwa na muda na siasa walijikita kwenye dini na miradi ya kanisa Kama shule,hospitali,mashamba,vyuo,viwanda nk Hawa wa kwetu weusi kutwa hawana Cha kufanya wanasubiri jumapili tu kuhubiri siasa kanisani na mitandaoni.

Raisi Magufuli ruhusu wazungu warudi kwa eingi wamisionari,mapadri,wachungaji na maaskofu na masista.
 
Ujumbe huu ni mzito ila kuna watu watanuna siku nzima ya leo.
 
Kabla yeye, Hajatupa majoho na kutembea uchi madhabauni utaanza wewe kuvua nguo na kutembea uchi barabarani
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania kila jambo wanalichukulia kisiasa, wanajadili mtu na imani yake badala ya hoja alitoitoa.

Tujifunze kupima hoja bila kuihusianisha na personality, itikadi au dini ili tusaidike. Tuwe tayari kubadilika ili tupone.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haha ya kuwarudisha mapadri,maaskofu na wachungaji wazungu.nyerere alikosea kuwaindoa mapema makanisani kwa kisingizio kuwa tumepata Uhuru kwa hiyo tuwe na mapadri,wachungaji na maaskofu watanzania.Matokeo yake ndio tumepata maaskofu Hawa type ya Bagonza

Wazungu hawakuwa na muda na siasa walijikita kwenye dini na miradi ya kanisa Kama shule,hospitali,mashamba,vyuo,viwanda nk Hawa wa kwetu weusi kutwa hawana Cha kufanya wanasubiri jumapili tu kuhubiri siasa kanisani na mitandaoni.

Raisi Magufuli ruhusu wazungu warudi kwa eingi wamisionari,mapadri,wachungaji na maaskofu na masista.

Kwa taarifa yako kama ni kurudi kwa wazungu, eneo la kwanza linalopaswa kujazwa ni hilo la siasa, maana kwenye siasa ndio kumejaa siasa za kishenzi kuliko huko kwenye dini.
 
Kuna haha ya kuwarudisha mapadri,maaskofu na wachungaji wazungu.nyerere alikosea kuwaindoa mapema makanisani kwa kisingizio kuwa tumepata Uhuru kwa hiyo tuwe na mapadri,wachungaji na maaskofu watanzania.Matokeo yake ndio tumepata maaskofu Hawa type ya Bagonza

Wazungu hawakuwa na muda na siasa walijikita kwenye dini na miradi ya kanisa Kama shule,hospitali,mashamba,vyuo,viwanda nk Hawa wa kwetu weusi kutwa hawana Cha kufanya wanasubiri jumapili tu kuhubiri siasa kanisani na mitandaoni.

Raisi Magufuli ruhusu wazungu warudi kwa eingi wamisionari,mapadri,wachungaji na maaskofu na masista.
mbona una makelele sana? hebu jibu hoja ya Askofu especially namba 8, sio unajaza server ya watu mapovu tu!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom