Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

Acha hizo wazungu viongozi wa dini waliacha makanisa yakiwa na miradi kibao mizuri Leo hii Nenda kaangalie baada ya watanzania ngozi nyeusi kushika miradi ya kanisa waliyoacha wazungu imekufa iwe ya wakatoliki,waanglikana,walutheri,wapentecoste,nk imekufa

Waafrika wengi walitamani hasa Ile miradi wakijua wakishika watapiga pesa Sana wakachochea wazungu wakoloni waondoke na wamisionari wao washike weusi.

Mijengo mingi imebomoka waliyoacha wamisionari wazungu ,miradi kutilia mbali kule.Ndio Hawa maaskofu wa dot com Akina Bagonza Sasa wako confused hawajui hata kazi ya uaskofu Ni Nini wanadhani Ni kushinda Mitandaoni
Nashukuru kanisa katoliki nasikia limepiga marufuku viongozi wao kushinda Mitandaoni.Lengo nadhani ili wajipe nafasi za kusimamia dini na miradi lukuki ya kanisa waliyonayo bayo minginya wazungu ilikufa naona walau wanaanza kujirudi taratibu
Mbona umehamisha mada tena? Tulikuwa kwenye mada ya viongozi wa dini wazungu kutokuingilia siasa na nikakupa sababu, lakini ni kama umeanza mada nyingine tena. Miradi baada ya uhuru ni jukumu la serikali na usiwatwishwe hilo zigo wasiohusika. Wanachokifanya ni hisani na si wajibu wao.
 
Ni askofu anayesema ukweli tu awe na chama au asiwe na chama wewe angalia anachokisema Kama kweli au uongo, sio askofu mnafiki

Kama anawapongeza chadema, awapongeze na serikari kwa yale mazuri waliyofanya ili wayaendeleze, kama kweli ni mtu wa ushauri hana upeande wowote.
 
Huyu Baba Askofu ni mwelewa sana na naufanyia kweli u PhD wake. Maneno yake yanachoma mpaka ndani kabisa.
 
Huyu Baba Askofu ni mwelewa sana na naufanyia kweli u PhD wake. Maneno yake yanachoma mpaka ndani kabisa.
 
Ujumbe kutoka kwa Baba Askofu Dr Benson Bagonza PhD..

HONGERA CHADEMA, lakini...

Tanzania yenye amani ni tunda la mshikamano wenye haki ndani yake. Msichoke kutafuta maridhiano ndani na nje yenu.

Mungu ibariki Tanzania.
Kuna maneno humo yamejaa maono na hekima.. asante Baba Askofu...
 
Mkuu, umetupa mawe container nzima, ngoja Baba Askofu au wapambe wake waje kujibu hoja.
Sidhani kama kuna mtu mwenye akili atapoteza muda wake kumjibu huyo anayemkashifu Askofu. Huyo aliyemkashifu Askofu, ni dhahiri anahitaji msaada wa walio wazima wamfikishe Mirembe haraka.
 
Hivi askofu Bagonza ni mwanachadema wa chadema? Mbona message zake zimekuwa ki chadema zaidi?
 
Back
Top Bottom