Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

Askofu Bagonza atoa pongezi na ujumbe mzito kwa CHADEMA

Bagonza Ni Chadema alikuwa team Lowasa.Lowasa aliwaingiza pori viongozi wengi wa dini kwa kuwagawagawia pesa .Huyo nimmmoja wa waliokula pesa za Lowasa

Kabla Lowasa kujitosa na kurubuni viongozi wa dini ,viongozi wengi wa dini walikuwa mbali na siasa ilikuwa wao na dini dini na wao .Lowasa aliharibu Sana baadhi ya viongozi wa dini .Wengi maskini ushiriki wao kwenye siasa ulikuwa kwa Mara ya kwanza tokea Wawe viongozi wa dini.Maburungutu ya pesa na misaada laghai ikawapofusha

Nakumbuka askofu mmoja Yuko kinondoni alitangaza kanisani kuwa hili.kanisa sisi Ni UKAWA tuko na Lowasa asiyetaka aondoke kanisani

Lowasa kugawa hela kwa baadhi ya viongozi wa dini wengine wakakengeuka wakaona ohh kumbe kushabikia siasa kunalipa.Wengine wamejirudi Bagonza kabaki huko huko akitarajia siku za mgao wa pesa zaweza Rudi kaacha kusubiria kurudi kwa Yesu Mara ya pili anasubiria kurudi kwa mgao wa pesa Mara ya pili
Mkuu umeandika kama mtu anayemfahamu kwa undani huyu askofu.

Ana uhaya usiofichika kwa kumsikiliza utaugundua.
 
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo
Mpumbavu wewe!....akili ya kuku kabisa!
 
"Ushauri Mzuri ila pia mimi namshauri kama anaona anaweza siasa aje kwenye siasa kama Dr Slaa alivyofanya kipindi kile."
Naamini atakuwa ameupokea ushauri wako. Hata hivyo kabla ya kuchukua uamzi huo, namshauri akamshirikishe suala hilo aliyekuwa askofu wa Kanisa Anglican Dayosisi ya Weatern Tanganyika Dr. Gerald Mpango, aliyeacha uaskofu ili agombee ubunge jimbo la Kasulu Mjini. Atakuwa na kitu cha kumshauri baba Askofu Dr. Bagonza.
 
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo
Angalia isije kuwa wewe ndiye uko confused na ni mental case
 
Umeambiwa kuwa afadhali angelimwaga nje kuliko kutoa kitu kama wewe...
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha shallow thinking, Askofu Janan Luwum aliuawa na Idd Amin , unatenganishaje siasa na dini. Waumini wakonwanatekwa, wanauawa, wanapotezwa, unatenganishaje dini na siasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, with due respect, don't expose your ignorance. Maaskofu na viongozi wa dini wana specific task, kuzipeleka roho za waumini wao mbinguni (tafuteni kwanza ufalme wa mbingu mengine yatakuja kwa ziada hayo ni maagizo ya YESU, Kama unabisha andamana). Now, tuna prosperity gospel preachers, politicians cum religious leaders, and wauza miujiza. Shame, ata haya mambo mepesi hujui?
 
Shoga tutu na aliachishwa uaskofu kwa umalaya alizaa nje.Bagonza naye kazaa nje ila kanisa linamchekea tu

Ni kweli kazaa nje, lakini haimaanishi anachosema sasa sio kweli.
 
Ni confused bishop.wa KKKT nadhani Ni mental case kanisa lim
mchukukie serious asje siku moja akatupa majoho akatembea uchi madhabahuni.

Anahitaji treatment na counselling ya kiroho na kisaikolojia kuna tatizo
Askofu kamwaga nondo mpaka 'Kuli' anamuona ni kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna haja ya kuwarudisha mapadri,maaskofu na wachungaji wazungu.nyerere alikosea kuwaindoa mapema makanisani kwa kisingizio kuwa tumepata Uhuru kwa hiyo tuwe na mapadri,wachungaji na maaskofu watanzania.Matokeo yake ndio tumepata maaskofu Hawa type ya Bagonza

Wazungu hawakuwa na muda na siasa walijikita kwenye dini na miradi ya kanisa Kama shule,hospitali,mashamba,vyuo,viwanda nk Hawa wa kwetu weusi kutwa hawana Cha kufanya wanasubiri jumapili tu kuhubiri siasa kanisani na mitandaoni.

Raisi Magufuli ruhusu wazungu warudi kwa eingi wamisionari,mapadri,wachungaji na maaskofu na masista.
Unajichanganya sana mkuu, hujui hata la kusema. Unashindwa kujua ya kuwa walioleta biashara ya utumwa na baadaye ukoloni ndio hao hao waliokuwa wakitawala kipindi cha ukoloni. Ulitaka wajipingeje ilihali ni kitu kimoja? Alafu unaziita akili kubwa kama za bishop kuwa ni confused.
 
Unajichanganya sana mkuu, hujui hata la kusema. Unashindwa kujua ya kuwa walioleta biashara ya utumwa na baadaye ukoloni ndio hao hao waliokuwa wakitawala kipindi cha ukoloni. Ulitaka wajipingeje ilihali ni kitu kimoja? Alafu unaziita akili kubwa kama za bishop kuwa ni confused.
Acha hizo wazungu viongozi wa dini waliacha makanisa yakiwa na miradi kibao mizuri Leo hii Nenda kaangalie baada ya watanzania ngozi nyeusi kushika miradi ya kanisa waliyoacha wazungu imekufa iwe ya wakatoliki,waanglikana,walutheri,wapentecoste,nk imekufa

Waafrika wengi walitamani hasa Ile miradi wakijua wakishika watapiga pesa Sana wakachochea wazungu wakoloni waondoke na wamisionari wao washike weusi.

Mijengo mingi imebomoka waliyoacha wamisionari wazungu ,miradi kutilia mbali kule.Ndio Hawa maaskofu wa dot com Akina Bagonza Sasa wako confused hawajui hata kazi ya uaskofu Ni Nini wanadhani Ni kushinda Mitandaoni
Nashukuru kanisa katoliki nasikia limepiga marufuku viongozi wao kushinda Mitandaoni.Lengo nadhani ili wajipe nafasi za kusimamia dini na miradi lukuki ya kanisa waliyonayo bayo minginya wazungu ilikufa naona walau wanaanza kujirudi taratibu
 
Huyu ni Askofu wa siasa au dini? ila anatoa matamko kwa kiwango cha PhD
Ni chama gani huyo askofu?

Sent using Jamii Forums mobile app
"Ushauri Mzuri ila pia mimi namshauri kama anaona anaweza siasa aje kwenye siasa kama Dr Slaa alivyofanya kipindi kile."
Huyu ndiyo Mtumishi wa Mungu kweli kweli. Angalia Yohana Mbatizaji. Yesu Mwenyewe anamsifu akisema "..Naam, na zaidi ya nabii" na Bwana Yesu aliendelea kusema hajazaliwa mpaka kipindi hicho aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. lakini huyu Yohana alimkosoa mkuu wa nchi bila woga wowote. tena mfalme mwenye nguvu na katili sana, Magu haoni ndani. Yohana Mbatizaji alikuwa akipiga kote kote. alikosoa Mafarisayo, Waandishi na Masadukayo [[Mathayo 3:7-8]i, watu wa kawaida, Maaskari na watoza ushuru [Luka 3:10,12,14]. Askofu Bagonza anafuata mfano wa huyu. Lakini pia wapo wanaojiita watumishi wa Mungu ambao ni manabii wa uwongo. hawa wapo wengi sana tu.
 
Viongozi wa wananchi wanapoapishwa wanasema wamepewa ridhaa ya kutawala kwa kupigiwa kura na wananchi .Uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kuwapachika viongozi wa chama kimoja bila uchaguzi uliyo huru na haki umeharibu taswila ya utawala bora ndio maana hata viongozi wa dini wanashutuka.
 
Back
Top Bottom