Katiba mpya tu ndiyo itatunusuru Watanzania na hili genge la wahuni ambalo limeivuruga Tanzania kwa miaka mingi.
Katiba mpya ni sawa. Lkn pia utamaduni wa kutii kanuni utiliwe mkazo katika jamii.
Maana kuwa na katiba nzuri ni jambo moja. Lkn pia kuifuata katiba ni jambo lingine. Ambalo ndiyo la maana zaidi.
Sisi kwetu alikuwa shujaa.
Wazembe,wezi,matapeli,vyeti feki wanakubaliana na kauli ya dialo hapo.
What is your point? 😳😳😳
Askofu bora kabisa kuwahi kutokea
Kichaa mwingine huyu hapa!wewe huna uwezo wa kuamua nchi apewe nani.
kwani ni mali ya watu fulani pekee hii??una uhakika gani kama unayemwaminini ni mzima kichwani!!!
hitler na mussolin ni viongozi waovu kwa kila binaadamu goi goi na mpenda kitonga,kwa wanaume shupavu wale ni mfano wa kuigwa.
hii dunia ingebaki na wapenda kitonga milele isingekuwa ilipo leo hii,nawewe unajua.
Mbona kuna vitu vipo wazi tu mkuu ina maana unataka kukataa kwamba kinachowasukuma kuongea hayo ni chuki kutokana na hasira mlizokuwa nazo kwa huyo Mwendazake na si kwamba mnakosoa tu?Hivi unadhani hatujui ipi ni chuki binafsi na upi ni ukweli hasi kuhusu yule dhalimu? Sema cha uongo alichokisema Diallo juzi ili tupime chuki yake dhidi ya huyo dhalimu. Ama unadhani dhalimu kufariki ndio kinga ya chuki aliyoeneza ndani ya nchi hii kunyamaziwa?
Mbona kuna vitu vipo wazi tu mkuu ina maana unataka kukataa kwamba kinachowasukuma kuongea hayo ni chuki kutokana na hasira mlizokuwa nazo kwa huyo Mwendazake na si kwamba mnakosoa tu?
Na hilo ndio tatizo kudhani kwamba kuna watu wa aina mbili tu, wanaompenda na wanaomchukia ambao wewe ni mmoja wapo.Ulikuwa na mahaba naye sana, kiasi alipokuwa anaendesha nchi kwa chuki, uliona ni sawa maana ulikuwa mfaidika wa uovu wake. Sasa hivi tunaendelea kutoa mrejesho wa uovu wake unaona ni chuki dhidi yake, huku ukijitahidi kukwepa ukweli wa utawala wake wa kidhalimu. Tuvumilie tumseme shetani, na ww una haki ya kumsifia hayo unayomkubali nayo, kwani hakuna anayekuzuia.
Na hilo ndio tatizo kudhani kwamba kuna watu wa aina mbili tu, wanaompenda na wanaomchukia ambao wewe ni mmoja wapo.
Binafsi sina sababu ya kumpenda Magufuli au kumchukia.
Kwahiyo mi sijajifunga kuwa muda wote nikimuelezea Magufuli basi iwe namuelezea yale mabaya tu au kumuelezea kwa uzuri tu,mi nipo huru naweza kupongeza au kukosoa kwa sina chuki wala mahaba na mtu.
ISIWE UNASEMA HIVYO KWA KUWA NI MWANAMKE KWA KUWA WALIOTUFIKISHA TULIPO WOTE WALIKUA WANAUME.Nchi imejamba hii , B, Chokochoko na urais wa nchi, kweli?!
Hata sitaki kukuaminisha kwa sababu najua JF ilivyo ni kwamba huwa siku zote kuna pande mbili tu hivyo nafahamu huwezi kunielewa kuwa sipo kwenye upande wowote, muhimu kuelewa ni kwamba nipo huru kueleza lolote kitu ambacho wengi hamna humu.Kwa bahati mbaya tathmini ya mtazamo wako dhidi yake uwe hasi au chanya, sisi wa pembeni tunaweza kuuona zaidi kuliko utakavyo kutuaminisha ww.
Kama ulikuwa hujui ndiyo ujue kwamba yule dhalimu mwendazake alikuwa mwendawazimu na siyo siri. Uwe unafuatilia habari za yanayojiri nchini kwa ukaribu badala ya KUKURUPUKA na kuanza ubishi wa kijinga. Na zihaka ndiyo mdudu gani!?
Chama chetu ni cha siasa sio cha kijeshi, au kikundi cha kigaidi.
Hitler,Mussolin na waovu wengine wa aina hiyo hawapo, mbona dunia bado inapaa tu kwa maendeleo ya hali ya juu?
basi mtaendelea kufilimbwa na polisi wa ccm mpaka mwisho wa nyakati.
Hivi unadhani hatujui ipi ni chuki binafsi na upi ni ukweli hasi kuhusu yule dhalimu? Sema cha uongo alichokisema Diallo juzi ili tupime chuki yake dhidi ya huyo dhalimu. Ama unadhani dhalimu kufariki ndio kinga ya chuki aliyoeneza ndani ya nchi hii kunyamaziwa?
Bro ninapomuoma kuwa jamaa alikuwa shujaa, ni pale licha ya kuwa karudi mavumbini. Lkn kuna umati mkubwa tu unaemdelea na vita vya kutaka apotee kabisa katika rubaa na makavazi ya nchi hii.