Pre GE2025 Askofu Bagonza: Kanisa likijenga Shule ama Hospitali halihojiwi na Serikali, lakini likihoji mbona dawa hakuna linaambiwa lisichanganye dini na siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Matumizi mabaya ya mistari ya biblia umeelewa alichosema bagonza?
 
Mmemangangania mathayo,soma kitabu Cha ISAYA,ole wa watawala wadhalimu,wanaominya Haki za maskini,huwezi kutenganisha siasa na dini,dini kazi yake ni kukemea maovu na udhumalumaji Kwa wanadamu,taasii za kibina damu na serikali zao zote,mtu anasema dini isiingilie siasa ana undugu na shewtain
 
Nasubiri majibu ya wale Wafarisayo na Wasadukayo waliojijongeza upenuni mwa jengo kwenda kubumba majibu.🤔
 
Huyu Mwamba anawasanua sana
 
Nadhani si Mwamposa ni Gwajima mkuu kama sijakosea.
 
Msomi mwenye akili timamu inayojitegemea na kujitambua hangeweza kusema wachungaji wanachanganya dini na siasa, very narrow minded individuals ndiyo wana fikra hizo
 
Two wrongs do not make one right. Gwajima ahukumiwe kama Gwajima, mimi na deal na huyu Bagonza askofu aliyetelekeza mwanaye aliyezaa na kimafa
Kumbe ni chuki zako binafsi. Mbona hatujasikia huyo mwanae akilalamika au wewe ndiye mwanae uweke wazi ushahidi tukujue
 
Msomi mwenye akili timamu inayojitegemea na kujitambua hangeweza kusema wachungaji wanachanganya dini na siasa, very narrow minded individuals ndiyo wana fikra hizo
Kweli.....hata wale wanaosema hivyo sio kwamba hawana akili bali ni katika kulindana mafisadi kwa mafisadi ili wasikemewe.

Mafisadi wanapenda matapeli wa Injili kama akina

kuhani Musa
Mwamposa
Mzee wa Bapa
Etc
 
Kweli.....hata wale wanaosema hivyo sio kwamba hawana akili bali ni katika kulindana mafisadi kwa mafisadi ili wasikemewe.

Mafisadi wanapenda matapeli wa Injili kama akina

kuhani Musa
Mwamposa
Mzee wa Bapa
Etc
Wengine wapo KKKT usiogope kuwataja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…