Pre GE2025 Askofu Bagonza: KKKT ina Mkuu wa Kanisa mmoja tu, Dereva wawili hawawezi kuendesha gari moja kwa wakati mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu Askofu wa CHADEMA kwa jina la Bagonza aache upuuzi. Wakipondwa CCM na Mwenyekiti wake hufurahia na kukaa kimya ila wakisifiwa huwa wa kwanza kujitokeza na kuropoka upumbavu.
 
Huyu Askofu wa CHADEMA kwa jina la Bagonza aache upuuzi. Wakipondwa CCM na Mwenyekiti wake hufurahia na kukaa kimya ila wakisifiwa huwa wa kwanza kujitokeza na kuropoka upumbavu.
Ameshasema yeye anatumia Ujinga kueneza Dini na Siasa, kama wewe mjuaji kaa pembeni aendelee na safari yake

Sasa wewe unawashwa wapi?
 
Sababu 95 za Padri Martin Luther kuondoka Katoliki na kuanzisha kanisa zote ni za msingi sana, unataka nikutajie 5 za msingi?
Yaani umepita mulemule. Kwa hiyo nondo, jamaa akiinuka tena kukufuata, nigutue mkuu.
 
Ameshasema yeye anatumia Ujinga kueneza Dini na Siasa
Halafu usikute hapa alijivika uhusika wa wapelekewa-ujumbe huo ili kuzidi kuwachanganya na kuwachanganua. Bila shaka itachukua miezi kadhaa kuuelewa ukweli wote kuhusu alichosema askofu.
 
Hili Kanisa tatizo lilianza pale walipoamua kujitenga na Kanisa mama la Roman Catholic, wakijitambua , kuacha ujeuri, kiburi na tamaa za pesa wanaweza kujirudi ndani ya Kanisa Mama la RC


Tumsifu Yesu Kristu.
Wewe nawe.....kwani walijitenga lini ?....na hayo matatizo Yao yalianza lini baada ya kujitenga na hao RC ?
 
Kifo cha Dr Erasto Kweka, kimemfanya Dr Shoo kutotawalika Tena.
Hata katiba ya dayosisi ameisingina.
 
Wewe hutaki bahasha?!
Hivi huamini kuwa kuna watu wanaoweza kukataa kujitoa akili namna hiyo kwa sababu ya fedha? I mean mtu anaweza kuwa na shida kweli na akapokea fedha lakini angalau akapiga debe kwa kutumia akili na busara. BTW huyu askofu hizo alizokwisha chuma hazimtoshi mpaka afikie stage hii?
 
Askofu anatakiwe anyooki na sio mafumbo mengi ni kama mwoga, yeye ni kiongozi, na asiwe vuvugu . Pa kukemea akemee, pa kuonya na aonye kwa ajili ya masilai ya taifa
ELIMU ELIMU ELIMU
 
Nje ya mada kidogo kuna mapadri waliuawa na kutupwa kwenye matenk ya maji tena kanisani, mbona sisikii kanisa likishinikiza polisi wafanye uchunguzi haraka? Au tuamini ni INSIDE JOB?
Anzishia mada yake..
 
Shoo kama yuko CCM na Bagonza CDM kuna shida gani?
* Mbn Bagonza husema mengi lkn wenzake hawafuatilii wala kukosoa sapoti yk kwa CDM!

* Kuna mtanzania asojua msimamo wa Bagonza kuhusu CDM?
Wenzako wanaoandika pumba kama uliyoandika hutumia id fake.. sasa wewe unaandika jambo bila kushirikisha uongo kwa id halisi tena na picha lako umeweka.,!?!😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…