Askofu Bagonza: Lissu amekosea kueleza in details alichoongea na Rais, akiendeshwa na mashabiki

Askofu Bagonza: Lissu amekosea kueleza in details alichoongea na Rais, akiendeshwa na mashabiki

Kwa hili napingana na Dkt Boganza. Lissu kafanya vema sana kusema ukweli & uwazi wa kilicho zungumzwa! La sivyo wachawi wasingekawia kumtungia stories za kusaliti au kusalimu amri!
Haswa na walishaanza!!
 
Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.

Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"

Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji

All is possible, labda walikubaliana na Samia kuwa unaweza kutoa kidogo tulichoongea.
 
Kuna mtu nimewah kumwambia kuwa Lissu sio sawa na Mbowe.Lissu ni mwanaharakati mwenye mihemko kariba ya john heche,msigwa,sugu,mdude,ni tofauti na Mbowe,mnyika na salum Mwalim ilitosha kuzungumza na rais then akae kimya asubir utekelezaji vinginevyo inaonekana km kutaka kumdrive rais anaweza kukosa vyote km kipindi cha katiba ya WARIOBA ni ushauri wangu binafsi apunguze mihemko
 
Kwa hili napingana na Dkt Boganza. Lissu kafanya vema sana kusema ukweli & uwazi wa kilicho zungumzwa! La sivyo wachawi wasingekawia kumtungia stories za kusaliti au kusalimu amri!
Pole- any way maoni yako ni stahiki yako ila baki nayo- LISSU KAKOSEA , KAMKOSEA ADABU RAIS NA AMEMCHONGANISHA NA WATU
 
Kuna mtu nimewah kumwambia kuwa Lissu sio sawa na Mbowe.Lissu ni mwanaharakati mwenye mihemko kariba ya john heche,msigwa,sugu,mdude,ni tofauti na Mbowe,mnyika na salum Mwalim ilitosha kuzungumza na rais then akae kimya asubir utekelezaji vinginevyo inaonekana km kutaka kumdrive rais anaweza kukosa vyote km kipindi cha katiba ya WARIOBA ni ushauri wangu binafsi apunguze mihemko
Kwani kaongea nini kibaya?
 
Pole- any way maoni yako ni stahiki yako ila baki nayo- LISSU KAKOSEA , KAMKOSEA ADABU RAIS NA AMEMCHONGANISHA NA WATU

Sikushangai - wachawi wakikosa wa kumloga wanaloga mpaka mbwa koko! Pole kwa kukatwa kilimilimi & kisabisabina!!!
 
Kumbe Lisu alikaguliwa?

Kitendo hicho kimemnchukiza sana bagonza!

Inaonekana hii ya kusema Lisu ndio kaomba kuonana na rais inawauma sana machadema!

Yenyewe yalitaka isomeke, Rais kaomba kuonana na Lisu
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Lissu ni kiongozi wa chama na aliyoyaongea na Rais ni masuala ya kitaifa wala sio masuala yao binafsi, km kiongozi wa chama alipaswa kutoa taarifa kwa wanachama wake juu ya huo mjadala.

Lissu huwa yupo wazi hataki longolongo, na lengo lake nikutaka kuwa safe wasimlishe maneno.
 
Kumbe Lisu alikaguliwa?

Kitendo hicho kimemnchukiza sana bagonza!

Inaonekana hii ya kusema Lisu ndio kaomba kuonana na rais inawauma sana machadema!

Yenyewe yalitaka isomeke, Rais kaomba kuonana na Lisu
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
ziara ya Rais ilelenga kukutana na Lissu ili aweke hali ya hewa Safi huko Duniani so far Rais aliitisha mkutano na vyama vya siasa chadema waligoma Sasa hapo nani mshindi? Think big buder.
 
Back
Top Bottom