Hayo ndio mawazo yenu mnavyotaka iwe!Una utindio wa ubongo wala sio bure, ziara ya Rais ilelenga kukutana na Lissu ili aweke hali ya hewa Safi huko Duniani so far Rais aliitisha mkutano na vyama vya siasa chadema waligoma Sasa hapo nani mshindi? Think big buder.
Kama kwenye statement ya Ikulu kusingekuwa na maneno "LISSU aliomba kukutana na Rais" ambayo mwandishi na wahafudhina walitaka kuaminisha Umma kwamba Mama Samia hakuwa na haja ya kukutana na Lissu ila shida zake zimemfanya aombe, wala LISSU asingeongea kiundani walichojadili kama unavyoona. Ili kuepusha upotoshaji wa wana CCM akaona aweke hints za alichomwambia na siyo walichoongea ndo maana hapo hakuna maneno ambayo Samia amemwambia LISSU.Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
Kwani Rais ameenda kuteta nae kama nani?Yote aliyosema- amesema kama nani?
Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
So far nini kimemfanya Rais akubali kukutana nae wakati haikuwa mipango yake?😀, Yaani anakatisha ziara yake kwaajili ya kamsikiliza Lissu?. Poleni hapo ndio mmeona chama na vile vikundi vyenu.Hayo ndio mawazo yenu mnavyotaka iwe!
Ndio maana unaona bagonza amefura sana baada ya kusambaa kwa picha akikaguliwa kuonesha kwamba yeye ndio aliomba kuonana na rais!
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kumbe Lisu alikaguliwa?
Kitendo hicho kimemnchukiza sana bagonza!
Inaonekana hii ya kusema Lisu ndio kaomba kuonana na rais inawauma sana machadema!
Yenyewe yalitaka isomeke, Rais kaomba kuonana na Lisu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kwa kuandika hayo tu inaonyesha YOU CAREWho cares? Nchi haieleweki hii
Una utindio wa ubongo wala sio bure, ziara ya Rais ilelenga kukutana na Lissu ili aweke hali ya hewa Safi huko Duniani so far Rais aliitisha mkutano na vyama vya siasa chadema waligoma Sasa hapo nani mshindi? Think big buder.
Amekatisha ziara?So far nini kimemfanya Rais akubali kukutana nae wakati haikuwa mipango yake?[emoji3], Yaani anakatisha ziara yake kwaajili ya kamsikiliza Lissu?. Poleni hapo ndio mmeona chama na vile vikundi vyenu.
Binafsi napingana na mawazo ya Bagonza. kwanza Lisu kafanya jambo jema kabisa ku-highlight yale waliyoongea. kwani vinginevyo kungekuwa na spinning nyingi ambazo ni tofauti na mada husika kwa maslahi ya wachache wanaofadika na huo mfumo haramu. kama Hamjui kuna kundi la watanzania wanaofurahia maumivu ya waTZ wenzao kwa maslahi yao. ukipita mitandaoni utaona hata baada ya TAL kuweka wazi mazungumzo yao wapo wanaokejeli na pengine hata wasingependa kikao hicho kifanyike. TAL ameshawambia waTZ juu ya yale waliyozungumza na Mh Raisi, hivyo inabaki kuwa kipimo kwa SSH kuwaonesha WaTZ dhamira yake ya aidha kuyafanyia kazi kwa haraka yale waliyozungumza ili kuleta matumaini au kushupaza shingo.Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
Kama kuna jambo nyeti lenye maslahi ya umma ambalo linaweza kupotoshwa, itifaki huwa inahitaji kukubaliana baada ya mazungumzo taarifa kwa umma iseme nini! Ni masuala ya Ikulu kuyaangalia mambo haya siku za usoni. Vinginevyo, Baba Askofu yuko sahihi kwa mtazamo wa heshima kwa Rais wetu na Lissu yuko sahihi kwa upande wa kujihami kuhusu madhumuni na kilichojiri kwenye mkutano wake na Rais ili mkutano huo usitumiwe kama fursa ya wapiga ramli wa pande zote!Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
SawaKazi iendelee
Nadhani Lissu amefanya hivyo kwa vile anajua watu walitegemea makubwa kutokana na mkutano huo. Asingetoa details, kuna uwezekano angeweza kurukwa hapo baadae.Askofu Dkt. Bagonza ameeleza haya baada ya Rais Samia kukutana Tundu Lissu, naa baadaye Lissu kuongelea kile alichozungumza na Rais.
Lissu anaweza kuwa amekosea kwenda in detail ya mazungumzo na Rais, na wasaidizi wa rais wanaweza kuwa wamekosea kurusha picha za Lissu kukaguliwa, kusisitiza nani kaomba kukutana, usuluhishi unahitaji restraint, Rais anapotoshwa, Lissu akiendeshwa na mashabiki"
Pia soma
- BRUSSELS, UBELGIJI: Rais Samia akutana na Tundu Lissu na kufanya mazungumzo mafupi
- Summary ya Maongezi ya Rais Samia na Tundu Lissu yaliyofanyika Ubelgiji
Si askofu wenu- wewe nani unapingana na askofu tena wa KKKT na mshauri wa kiroho wa LissuSiyo kila jambo ambalo Bagonza anawaza au anaandika ni la kukubali-kukubali tu! hapo ni Rais ambaye ni mkuu wa nchi na serikali, na hilo ni tukio kubwa, kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima tujue nini kilichozungumzwa na hawa watu wawili, na Lissu ametoa tu kwa ufupi yale yaliyozungumzwa, na mkutano wao ulichukua zaidi ya saa 2, sasa unataka kuniambia hayo aliyosema Lissu kwa ufupi ni ya kuzungumza masaa 2? kuna vingine Tundu Lissu hajasema in details....
Halafu msifikiri Lissu hana akili timamu kwamba hajui protocal
Tumgoje mama akirudi yeye atasemaje? Akiafiki yaliyosemwa na Lisu,mi sioni ubaya wowote kwani aliyoyasema yamekwisha semwa siku nyingi ukiachiwa la mchongo wa mbowe