Askofu Bagonza: Lissu amekosea kueleza in details alichoongea na Rais, akiendeshwa na mashabiki

Lissu hajaongea ile summary bila idhini ya wasaidizi wa Rais.
Angekuwa kaamua yeye kuongea angeropoka sana Lissu
 
Summary ya pande zote mbili haiwezekani kiprotocal.
Samia ni Rais.
TL siyo Rais
hata mimi nililiona hili, nadhani hakupaswa kusema hayo yote..ingekuwepo na summary ya pande zote.

Rais ni rais tu..lazima apewe heshima yake
 
Mama huwa anajali sana kwa hilo nampa Hongera zake na Mnyaazi Mungu azidi kumpa maisha marefu kwa faida ya Watanzania sifa kuu ya Watanzania ni wakalimu mno mno..
 

CCM ni CCM tu mkuu, kuwaamini ni sawa na kujitia kitanzi.

Lissu amecheza vizuri sana.
 
Mama Samia,tunakuombea kwa Mwenyezimungu akujaalie umri mrefu uliojaa busara na hekima,akujaalie roho ya kusamehe na akufanyie wepesi ktk juhudi zako za kutu unganisha sisi watanzania.
TUSEME
Aaamiin

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Siri ya nini?? Naomba jibu
 
Lissu hajawahi kuniangusha hata siku moja.
 
Katika mazingira ya Lissu kuwa ughaibuni na hana passport iwe imeibwa au ilipotea...ni lazima ujenge urafiki na serikali kwa udi na uvumba. Hizi vurugu zinatakaga uwe kwanza na passport
Kwani ndio Kusema Lissu sio Raia tena?
 
Ni kweli na hii inaonyesha hafai kuwa kiongozi mkubwa.

Rais kamheshimu amemfuata unless wangaitisha press ya pamoja.

Mh.Rais next time achana na Hawa wajinga wasio na adabu wala wasiojoelewa.
Maskini wa Roho maungulika sana moyoni.

Wachawi wote mmejulikana.
 
Uzuri ni kuwa SSH utu wake na busara zake zimepitiliza. Kuna wengine humu wangetamani TL wammalizie either kipindi akiwa hospitali au kule Ubelgiji.

Taifa linakuwa imara zaidi kama tunatofautiana mitizamo.
Let's embrace diversity!
Mama Samia amewaumbua wachawi wengi huko lumumba. Walikuwa hawapendi kabisa kitu kama cha Jana
 
Wanaobeza ni wale wenye tabia za kishenzi tu. Binadamu mwenye akili na busara anaelewa umuhimu wa Jambo lile.
 
Hapa duniani tunajukumu la kuwa na amani na watu wote!! Waebrania 12:14
 
kwa mtazamo wangu Lissu sio mwanasiasa ni mwanaharakati, mwanasiasa anapozungumzia mazungumzo ya faragha huwa anabakisha na maneno
 
View attachment 2121877

Tuseme yote. Tulaumu kivyovyote. Lakini SSH kathibitisha yeye ni binadamu.
Tukimdharau huyu mama hasa wapinzani hakika Mungu atatuletea mtu kama Iddi Amini mana hajui wakati wa kujiliwa kwetu.

Mungu aliwaletea Waisrael Masihi Yesu Mwana wa Mungu akiwa mpole anayepigwa shavu na kugeuza upande wa pili lakini matokeo yake wakamuua na kumkejeli. Kilichofuata Palitoke uvamizi wa majeshi ya Rumi na kuisambaratisha Israel Kwa Karne 20 bila kuwa na Taifa.

Tumshukuru sana Mungu Kwa kutuletea Samia. Itachukua miaka mingi sana kumpata Mtu kama Mama Samia hasa Afrika.
Ana makosa madogo madogo kwenye namna ya kupanga safu yake yenye wazalendo wa kweli.
Chanzo ni Chama chake kilichojaa walafi na wahuni. Chama ambacho ndicho tatizo kuu kwenye nchi hii. Chama kinachoweza kufanya uovu wowote alimradi kishinde Kwa asilimia 90.

Tumuunge mkono mama Samia ili aiunganishe nchi kimaendeleo na kijamii na kisiasa pia
 
Mkuu agenda walioamusha Mh Rais na Mh Lissu kwanza ni pigo kwa sukuma gang na the Unknown. Pili inaibua nyoka woote wanafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…