Askofu Bagonza: Lissu amekosea kueleza in details alichoongea na Rais, akiendeshwa na mashabiki

Uko sahihi. Tuendelee kumwombea Mama Samia huko chamani kwake kuna machatu wengi
 
Naunga mkono!

Lissu hana kifua kipana kama Mbowe!
Mnakumbuka Maalif Seif na Mbatia walizungumza na Rais Samia Ikulu?

Walipotoka utadhani walikuwa wametekwa. Kimyaa. Then what happened? Tunajua waliongea nini??

Putin na Joe biden wanaongea mambo mazito ya kiusalama na wakimaliza wana publish walichoongea sembuse maongezi ya kawaida ya mapatano ya Mtu na Mdogo wake??
 
Hivi kuna siri gani katika kuelezea kuwa Serikali imejidhalilisha sana kwa kesi hii ya Mbowe.
Hata sisi wana CCM tunalijua hilo.
Mama amekuwa muungwana kupata maoni ya upande wa pili, hili litambeba.
Acha uongo. Wewe ni CHADEMA asilia.
 
Umeongea ukweli tena kwa jicho la tatu, tatizo baadhi wanataka kulifanya mmojawapo kati ya Lissu au Raisi aonekane Underdog
 
Maalim Seif na Mbatia wako derikalini.
 
Acha uongo. Wewe ni CHADEMA asilia.
Nyie ndio wale CCM wajinga wajinga mlio ingia mjini na mbio za mwenge na ushabiki mbuzi wa kusgabikia mtu na si misingi ya chama.
Sie CCM asilia tunawatazama tu.
 
Wewe ni chizi na Zezeta sana. Kuna mtu unaweza kuonana na rais kienyeji bila kukaguliwa? Kukaguliwa kwa Lisu Ni protoko ya kawaida ulizo kiazi unachukulia kuwa ni Jambo kubwa sana
 
Bahati mbaya katika hili kuna wanaojifanya wana umuhimu zaidi ya wengine....sio sahihi hii nchi ni yetu wote...
 
Akili kubwa hii mku
Siri ndio chanzo cha wizi,ufisadi na mikataba mibovu.

Lissu ni mtumishi wetu na anawajibika kwetu sisi wananchi na wanachama,siri ya nini wakati matatizo yetu yanajulikana!?

Hizo siri mfanye na hao wenza wenu sio ktk kazi hizi za wananchi.
Jicho la mwewe umeona mbali sana
 
Kweli tupu
 
Nyie mnajuaje kasema yote? Mlikuwepo kwenye kikao au ni hisia zenu zinawatuma kuwa Lissu kaongea yote? Mnajuaje kazungumza kuwawin wazee wa kulisha maneno kaamua kuwawahi
najua kuwa walizungumza mengi.. mm nasemea hayo aliyoyasema
baadhi utaona ni kama anatoa maagizo au masharti kwa raisi.. kitu ambacho naona sio sawa
 
Yesu Kristo alisema maneno yetu yawe machache yaani Ndio au Siyo kwa maana maneno mengi yanatoka kwa yule mwovu.

Wakati mwingine hakunaga sababu ya kuweka hadharani mambo yaliyojadiliwa faraghani.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nilimwambia bwana mmoja hakunielewa, ingawa Lissu anajua vitu vingi lakini bado hayuko stable katika kuonesha maturity yake.

Na ndiyo hii inatia mashaka uwezo wa oposition kushika nchi japo tunawasuport....

Kwa alichokileta Lissu hadharani, mahakama ingeamua vinginevyo ingeweka msingi mbaya sana kwa serikali na mifumo mizima ya kuendesha nchi.

Lissu akue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…