Askofu Bagonza: Ushindi wa kishindo ni kaburi la maendeleo Afrika

Jibu kwa adabu.Sio kujionyesha hunamajibu juu hoja za askofu.Nyamaza kama huna hekima ya kujibu hoja ilio enda shule
 
Jibu kwa adabu.Sio kujionyesha hunamajibu juu hoja za askofu.Nyamaza kama huna hekima ya kujibu hoja ilio enda shule
Nilimsikia anasema naye katishiwa maisha, HIVI NAYE ATAKIMBIA LINI? Hivi naye anataka Udiaspora au Ukimbizi wa kisiasa?
 
Wewe mwenyewe unajua hayakugonga mwamba, mlichofanya mnakijua...

Pia ungejikita kujibu hoja ungeonekana MTU kuliko vijembe ulivyotoa hapo juu
Huyu ni askofu wa kwanza kumtetea shetani eti tunamhitaji kuleta checks and balances.
 
Tangu lini kutetea haki za raia imekuwa ni kutetea haki za shetani? Kwa hiyo huyu Askofu akae kimya tu huku akiona dhuluma na udhalimu wa kutisha ukizidi kushamiri? Mbona hata Pope anakemea dhuluma na udhalimu duniani? Au naye pia anatetea shetani!? 😳😳

Huyu ni askofu wa kwanza kumtetea shetani eti tunamhitaji kuleta checks and balances.
 
Uhuru Kenyatta siyo hayati, bado yuko hai na ni Rais wa Kenya aliyeko madarakani sasa!
Hayati Uhuru Kenyatta; "Mimi ninaongoza Wakenya walio lala usingizi kesho wakiamka watahoji, lakini jirani yangu yeye anangoza wafu". Na kweli baada ya miaka kadhaa Wakenya walipo amka kutoka usingizini KANU iliondoka madarakani!!!
 
Serious people do not work from MAJUKWAA, watu wanafanyia kazi mambo yenye ushahidi siyo hoja za kibabaishaji huko kwenye majukwaa. Nani akanushe upuuzi na uongo huo!
Na yale waliyokuwa wakiyajibu majukwaani ?
 
Umesema mwenyewe "walikuwa wakijbu" hawakuwa wakisema bali kujibu "vioja" kwani ukivinyamazia, vitaonekana kama ni kweli kwa wale wenye mawazo finyu!
Walijibu kama unavyosema vioja lakini shutuma za wizi walikaa kimya au vipi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…