Askofu Bagonza: Ushindi wa kishindo ni kaburi la maendeleo Afrika

Askofu Bagonza: Ushindi wa kishindo ni kaburi la maendeleo Afrika

Wewe mwenyewe unajua hayakugonga mwamba, mlichofanya mnakijua...

Pia ungejikita kujibu hoja ungeonekana MTU kuliko vijembe ulivyotoa hapo juu

Kwahiyo binadamu ana nguvu kuliko maombi? Kwa nyie watu wa imani.
 
Nje ya mada, Mkuu BAK sijasikia maoni yako kuhusu wale 19.
 
Ungekuwa mpenda haki usingeandika UPUUZI ulioandika. Hata Mwalimu alikuwa mpenda haki lakini hakukwepesha kusema ukweli pale ulipohusu. Mimi sirembeshi unapoandika pumba/upuuzi.

NYERERE: KUNA WANASIASA WANANUNULIKA, HESHIMA YAO INA BEI - YouTube
Actually nashukuru umeleta hiyo clip

Isikilize vizuri halafu useme Kati ya CCM na upinzani Nani ananunulika kirahisi

Mimi sio mataga, lakini wapinzani Wengi ni wepesi mnooooo

Wanauza mechi kirahisi Sana

And my point about haki, usawa, dwmokrasia in relationship to bagonnza was hinged there

Nakuelewa Sana ndugu yangu, tumetoka mbali sana sijakurupuka kukuuliza

Majibu yako speak volumes

Inawezekana unadai chema lakini hata wewe sio mjumbe mwema wa madai hayo

Hauna hata uwezo wa kutendea haki wachaiaji humu

Umejawa kiburi, dharau, imla na kebehi

Simamia unachoamini na kudai Kwa vitendo

Miaka Ile unakumbuka karibu uwe na kesi wewe?
 
Ndiyo maana Marekani ni taifa tajiri sababu ya mifumo yao mizuri siyo kuwa na MUNGU mtu
Wao wana rais wa 45 wakati sisi ni 5 tu !!
hatuwezi kufanana nao kwa mengi iwe mazuri au mabaya.
 
Askofu Dr Bagonza umekuwa mwenyewe katika Tz kama Desmond Tutu wa South Africa kupigania uhuru wa kweli!!
 
Ni maneno ya siasa ayo.
Iyo list yako yoote imekataa kuandamana inamaana wameridhika na maisha yao na bado mnaemtuhumu akipitana msafara barabarani wanajaa barabarani uku wakimshangilia.
Mbona waliandamana mkawapiga virungu na risasi au ulitaka na wao watafute bunduki na vifaru waandamane navyo mitaani kama pia na wao wakodishe jeshi la Burundi?
 
Makamanda mnahali ngumu sana kwakweli.
hapo kunamada gani zaidi ya umbea tu.

"haya ngoja basi nikachukue buku saba"voice by makamanda wa mitandaoni[emoji23]
Tazama ulichokiandika kisha urejee kushirikisha ubongo itakiwavyo utaelewa ulichokiandika hakifanani na utakiwavyo kuwa.
 
Kabakiza mipasho tu.
Juhudi yako inaonekana tatizo teuzi ni chache na zina wenyewe!!! Mwisho wa siku wengi wanaotumika hubaki jalalani wakijuta na kulalama huku wengine wakihama kwa hasira kuelekea upande wa pili kujifariji... tunawajua 😀 😀
 
Back
Top Bottom