Masasu
Member
- Oct 28, 2020
- 28
- 24
Una elimu gani wewe? Tuanzie hapo kwanza. Kama umeshindwa kumuelewa askofu kwa maelezo mepesi hivi, nina shaka na uwezo wa kichwa chako.Mzee Bagonza maombi yake yote kwa Lissu ili awe Rais yamegonga mwamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una elimu gani wewe? Tuanzie hapo kwanza. Kama umeshindwa kumuelewa askofu kwa maelezo mepesi hivi, nina shaka na uwezo wa kichwa chako.Mzee Bagonza maombi yake yote kwa Lissu ili awe Rais yamegonga mwamba.
Hayo ni mambo ya kupambana nayo kama vile unavyotakiwa kupambana na hali yako! Usitafute visingizio vya aina yoyote katika kupambana na udhalimu wa aina yoyote katika jamii kama kweli wewe unapenda haki. Mambo kama rushwa, kubambikiwa kesi, kudaiwa ada au michango na walimu mamluki, ni mambo yako ndani ya uwezo wetu, ni suala la "kujilipua" na kudai haki yako, hata kama ikibidi kwenda IKULU sawa, nenda! Haki haipatikani kwa kulalamika au kusema mauongo. Haki inapatikana kwa kusema ukweli wenye vielelezo bila WOGA!Na utatoka vipi kwenye siasa wakati kuna ndugu zako wamebambikizwa kesi za ugaidi ?? wengine wamepigwa risasi , wengine tunadaiwa kulipa shuleni , wengine tunapoumwa madakitari wanataka kitu kidogo watuhudumie kwani mshahara hauwawatoshi , list haishi
Haya usemayo siyo mageni! Ni UONGO tuliowahi kuusikia toka kwa Lissu na BOB wake; na wewe unauleta tena. Haya ya watu kupigwa risasi za ndege ya akina Lissu tulishayaeleza humu kuwa ulikuwa ni muendelezo wa vita ya kugombea UENYEKITI ndani ya CHADEMA ndiyo maana hamtaki kumsalimisha dereva wa Lissu kwani atamwaga mambo yote hadharani. UONGO usio na ushahidi ni kama kumpigia mbuzi gitaa, unapoteza muda na rasilimali zako.Na vipi hawa viongozi wanaouwa watu ili kujibakiza madarakani?? wengine wanawachukulia watu mashamba yao na kujimilikisha wao, kama huyu Mzee Mwinyi na marehemu Mkapa ?? na huyu mfalme wa Chato kule Tanga ?? Na wengine wananunua ndege bila kutaja walinunua kwa bei gani ?? na wengine wanapewa hela na hao mabeberu wa EU za kusaidia wenye corona , wanazitafuna bila wasiwasi.??? listi ni ndefu
Askofu, Askofu! Basi aje na maelezo ya kweli siyo suala la kunakiri vifungu vya Biblia Takatifu na kutaka ASIHOJIWE! Huko ni kujificha na kukwepa ukweli. Tutakuhoji tu mpaka ueleweke! Na wewe unaye muelewa Askofu, basi yaelezee hayo asemayo kwa lugha nyepesi ili hao unawashakia uwezo wa vichwa vyao wakuelewe!Una elimu gani wewe? Tuanzie hapo kwanza. Kama umeshindwa kumuelewa askofu kwa maelezo mepesi hivi, nina shaka na uwezo wa kichwa chako.
Muulize huyo mzee kama ana imani na akijua mungu husikiliza maombi ya wateule wake,USHINDI WA KISHINDO NI KABURI LA MAENDELEO AFRIKA
Tumemaliza Uchaguzi. Walioshinda wamepata asilimia 84 (urais) na bunge asilimia 99. Huu ni ushindi wa kishindo au kishindo cha ushindi?
Tukubaliane: Tuna watu wengi ni waaminifu kwa sababu hawana cha kuiba au wanaogopa kukamatwa. Serikali nyingi ziko hivyo. Zinahitaji kusimamiwa, kuchunguzwa, kukosolewa ili zifanye vizuri. Hata katika ulimwengu wa Imani, uwepo wa shetani ni msingi wa jitihada za kufundisha uadilifu.
Marekani wamemaliza Uchaguzi wao. Urais umeenda kwa chama Cha Democrat kwa kupata viti 306 dhidi ya 232 vya Trump (electoral colleges).
Bungeni (Cogress), Democrat wamepata viti 232 dhidi ya 197 vya Republican.
Kwenye Senate Republican wamepata viti 50 dhidi ya 48 vya Democrat. Viti 2 bado kuchaguliwa.
Kwa hiyo Rais mteule Biden atakuwa Ikulu bila kuwa na wingi wa kutisha wa wabunge na kwenye Senate chama pinzani ndicho kina viti 2 zaidi ya chama tawala. Hali hii inaweza kubadilika baada ya miaka miwili utakapofanyika Uchaguzi mdogo wa baadhi ya majimbo ya Bunge na senate. Kwenye uchaguzi huo, Biden anaweza kukosa wingi kwenye bunge na senate. Kwa nini?
1. Wamarekani hawapendi kuweka mayai yote kikapu kimoja (urais, ubunge na useneta). Ukipewa urais unanyimwa ama wabunge au maseneta ili ujifunze kushirikiana na wapinzani kwa kutumia hoja siyo bunduki.
2. Check and balance (kuwajibishana) ni msingi maamuzi ya kila kitu. Hata kwenye vyombo vya habari ni lazima kikisemwa kitu sharti upande wa pili uwekwe ili wasomaji/ wasililizaji wajue pande mbili na kuamua wenyewe.
Kimantiki, ushindi wa kishindo chaweza kuwa chanzo cha mdororo wa Maendeleo katika bara letu linalopenda sana neno NDIYO. Tabia ya kuchukia maoni tofauti inadumaza utundu, ugunduzi, na ubunifu. Badala yake dhana ya NDIYO inakomaza kukariri, woga, utii usio na dhamiri na kuondoa uendelevu(sustainability) katika maamuzi mengi. Mfumo wa Elimu ndilo jiko la kupika Taifa linalohoji au linaloimba NDIYO kwa kila kitu.
Mfungwa katika mfumo wa NDIYO akiwekewa mkate na funguo za gereza akaambiwa achague moja, atachagua mkate.
Mfungwa katika gereza la KWA NINI, akiwekewa hivyo viwili, anaweza akahoji kwa nini si vitatu badala ya KUCHAGUA kama alivyoelekezwa.
Zawadi ya mfungwa ni Uhuru si sabuni ya kuoga akiwa gerezani. Kumwachia huru mfungwa ni sawa na kumweka huru Askari magereza anayemlinda. Hiyo ndiyo faida kuu ya Uhuru. Unanufaisha pande zote.
Na kwa vile hamtaki kubadili tabia basimtabaki hivyo muda mrefu saanaMadikteta wote upata ushindi wa kishindo.
Bagonza sio Mhaya.Wahaya wana shida sana, kwa dharau zile za Bagonza kisa ule udokta wake, basi yeye kwake Mungu si lolote mbele ya phd yake.
Sio kila siku ni jumapiliNa kwa vile hamtaki kubadili tabia basimtabaki hivyo muda mrefu saana
Wewe ni kijana uliyezaliwa hivi majuzi labda kwenyebio za mwenge. Hao viongozi wako wamewaweka wengi gerezani kwa kuambiwa matatizo ya nchiHayo ni mambo ya kupambana nayo kama vile unavyotakiwa kupambana na hali yako! Usitafute visingizio vya aina yoyote katika kupambana na udhalimu wa aina yoyote katika jamii kama kweli wewe unapenda haki. Mambo kama rushwa, kubambikiwa kesi, kudaiwa ada au michango na walimu mamluki, ni mambo yako ndani ya uwezo wetu, ni suala la "kujilipua" na kudai haki yako, hata kama ikibidi kwenda IKULU sawa, nenda! Haki haipatikani kwa kulalamika au kusema mauongo. Haki inapatikana kwa kusema ukweli wenye vielelezo bila WOGA!
Haya usemayo siyo mageni! Ni UONGO tuliowahi kuusikia toka kwa Lissu na BOB wake; na wewe unauleta tena. Haya ya watu kupigwa risasi za ndege ya akina Lissu tulishayaeleza humu kuwa ulikuwa ni muendelezo wa vita ya kugombea UENYEKITI ndani ya CHADEMA ndiyo maana hamtaki kumsalimisha dereva wa Lissu kwani atamwaga mambo yote hadharani. UONGO usio na ushahidi ni kama kumpigia mbuzi gitaa, unapoteza muda na rasilimali zako.
Njia ya kwenda Mbinguni ni nyembamba.USHINDI WA KISHINDO NI KABURI LA MAENDELEO AFRIKA
Tumemaliza Uchaguzi. Walioshinda wamepata asilimia 84 (urais) na bunge asilimia 99. Huu ni ushindi wa kishindo au kishindo cha ushindi?
Tukubaliane: Tuna watu wengi ni waaminifu kwa sababu hawana cha kuiba au wanaogopa kukamatwa. Serikali nyingi ziko hivyo. Zinahitaji kusimamiwa, kuchunguzwa, kukosolewa ili zifanye vizuri. Hata katika ulimwengu wa Imani, uwepo wa shetani ni msingi wa jitihada za kufundisha uadilifu.
Marekani wamemaliza Uchaguzi wao. Urais umeenda kwa chama Cha Democrat kwa kupata viti 306 dhidi ya 232 vya Trump (electoral colleges).
Bungeni (Cogress), Democrat wamepata viti 232 dhidi ya 197 vya Republican.
Kwenye Senate Republican wamepata viti 50 dhidi ya 48 vya Democrat. Viti 2 bado kuchaguliwa.
Kwa hiyo Rais mteule Biden atakuwa Ikulu bila kuwa na wingi wa kutisha wa wabunge na kwenye Senate chama pinzani ndicho kina viti 2 zaidi ya chama tawala. Hali hii inaweza kubadilika baada ya miaka miwili utakapofanyika Uchaguzi mdogo wa baadhi ya majimbo ya Bunge na senate. Kwenye uchaguzi huo, Biden anaweza kukosa wingi kwenye bunge na senate. Kwa nini?
1. Wamarekani hawapendi kuweka mayai yote kikapu kimoja (urais, ubunge na useneta). Ukipewa urais unanyimwa ama wabunge au maseneta ili ujifunze kushirikiana na wapinzani kwa kutumia hoja siyo bunduki.
2. Check and balance (kuwajibishana) ni msingi maamuzi ya kila kitu. Hata kwenye vyombo vya habari ni lazima kikisemwa kitu sharti upande wa pili uwekwe ili wasomaji/ wasililizaji wajue pande mbili na kuamua wenyewe.
Kimantiki, ushindi wa kishindo chaweza kuwa chanzo cha mdororo wa Maendeleo katika bara letu linalopenda sana neno NDIYO. Tabia ya kuchukia maoni tofauti inadumaza utundu, ugunduzi, na ubunifu. Badala yake dhana ya NDIYO inakomaza kukariri, woga, utii usio na dhamiri na kuondoa uendelevu(sustainability) katika maamuzi mengi. Mfumo wa Elimu ndilo jiko la kupika Taifa linalohoji au linaloimba NDIYO kwa kila kitu.
Mfungwa katika mfumo wa NDIYO akiwekewa mkate na funguo za gereza akaambiwa achague moja, atachagua mkate.
Mfungwa katika gereza la KWA NINI, akiwekewa hivyo viwili, anaweza akahoji kwa nini si vitatu badala ya KUCHAGUA kama alivyoelekezwa.
Zawadi ya mfungwa ni Uhuru si sabuni ya kuoga akiwa gerezani. Kumwachia huru mfungwa ni sawa na kumweka huru Askari magereza anayemlinda. Hiyo ndiyo faida kuu ya Uhuru. Unanufaisha pande zote.
hana tofauti na nabii titoUSHINDI WA KISHINDO NI KABURI LA MAENDELEO AFRIKA
Tumemaliza Uchaguzi. Walioshinda wamepata asilimia 84 (urais) na bunge asilimia 99. Huu ni ushindi wa kishindo au kishindo cha ushindi?
Tukubaliane: Tuna watu wengi ni waaminifu kwa sababu hawana cha kuiba au wanaogopa kukamatwa. Serikali nyingi ziko hivyo. Zinahitaji kusimamiwa, kuchunguzwa, kukosolewa ili zifanye vizuri. Hata katika ulimwengu wa Imani, uwepo wa shetani ni msingi wa jitihada za kufundisha uadilifu.
Marekani wamemaliza Uchaguzi wao. Urais umeenda kwa chama Cha Democrat kwa kupata viti 306 dhidi ya 232 vya Trump (electoral colleges).
Bungeni (Cogress), Democrat wamepata viti 232 dhidi ya 197 vya Republican.
Kwenye Senate Republican wamepata viti 50 dhidi ya 48 vya Democrat. Viti 2 bado kuchaguliwa.
Kwa hiyo Rais mteule Biden atakuwa Ikulu bila kuwa na wingi wa kutisha wa wabunge na kwenye Senate chama pinzani ndicho kina viti 2 zaidi ya chama tawala. Hali hii inaweza kubadilika baada ya miaka miwili utakapofanyika Uchaguzi mdogo wa baadhi ya majimbo ya Bunge na senate. Kwenye uchaguzi huo, Biden anaweza kukosa wingi kwenye bunge na senate. Kwa nini?
1. Wamarekani hawapendi kuweka mayai yote kikapu kimoja (urais, ubunge na useneta). Ukipewa urais unanyimwa ama wabunge au maseneta ili ujifunze kushirikiana na wapinzani kwa kutumia hoja siyo bunduki.
2. Check and balance (kuwajibishana) ni msingi maamuzi ya kila kitu. Hata kwenye vyombo vya habari ni lazima kikisemwa kitu sharti upande wa pili uwekwe ili wasomaji/ wasililizaji wajue pande mbili na kuamua wenyewe.
Kimantiki, ushindi wa kishindo chaweza kuwa chanzo cha mdororo wa Maendeleo katika bara letu linalopenda sana neno NDIYO. Tabia ya kuchukia maoni tofauti inadumaza utundu, ugunduzi, na ubunifu. Badala yake dhana ya NDIYO inakomaza kukariri, woga, utii usio na dhamiri na kuondoa uendelevu(sustainability) katika maamuzi mengi. Mfumo wa Elimu ndilo jiko la kupika Taifa linalohoji au linaloimba NDIYO kwa kila kitu.
Mfungwa katika mfumo wa NDIYO akiwekewa mkate na funguo za gereza akaambiwa achague moja, atachagua mkate.
Mfungwa katika gereza la KWA NINI, akiwekewa hivyo viwili, anaweza akahoji kwa nini si vitatu badala ya KUCHAGUA kama alivyoelekezwa.
Zawadi ya mfungwa ni Uhuru si sabuni ya kuoga akiwa gerezani. Kumwachia huru mfungwa ni sawa na kumweka huru Askari magereza anayemlinda. Hiyo ndiyo faida kuu ya Uhuru. Unanufaisha pande zote.
Kama wamechukua ardhi kisheria lakini wewe unaona WAMEPORA, basi hiyo ni SHIDA! Hebu nendeni kwa Pilato badala ya kusemasema humu JF bila ushahidi wowote!Ni uongo na mashamba yetu mengine yamenyakuliwa na hao wezi? Mbona wenyewe hawajawahipo kukanusha popote??Au wewe ni msemaji wao??
Kama wamechukua ardhi kisheria lakini wewe unaona WAMEPORA, basi hiyo ni SHIDA! Hebu nendeni kwa Pilato badala ya kusemasema humu JF bila ushahidi wowote!
Serious people do not work from MAJUKWAA, watu wanafanyia kazi mambo yenye ushahidi siyo hoja za kibabaishaji huko kwenye majukwaa. Nani akanushe upuuzi na uongo huo!Ndivyo walivyokuambia kuwa wamechukua kisheria. Mbona haya mambo yamesemwa kwenye majukwaa na wao hawajayakanusha , wacha kujamba jamba tu