pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
I second you kamandaMadikteta wote upata ushindi wa kishindo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I second you kamandaMadikteta wote upata ushindi wa kishindo
Ndo fikra zake yule mzee.Bago
Kwa hiyo Bagonza ,kwa mawazo yake potofu Lissu angekuwa Rais,tungejengewa nyumba kila mtu
Soma uelewe mada sio kukariri ulichoambiwa na wapenzi wakoMzee Bagonza maombi yake yote kwa Lissu ili awe Rais yamegonga mwamba.
Mzee Bagonza yeye pia ni mtu wa vijembe.Wewe mwenyewe unajua hayakugonga mwamba, mlichofanya mnakijua...
Pia ungejikita kujibu hoja ungeonekana MTU kuliko vijembe ulivyotoa hapo juu
Kabakiza mipasho tu.Kabaki anapiga kelele kama za mlango.
Ukiwa nje ya siasa unakuwa huru kabisa,unafanya mambo yako safi wala hunakinyongo na mtu.Wewe upo huru kiasi gani?
Makamanda mnahali ngumu sana kwakweli.Soma uelewe mada sio kukariri ulichoambiwa na wapenzi wako
Nani kakwambia yamegonga mwamba?. Umekariri bro! Kwani JAMAA atakuwa rais Wa tz milele, time will tell bro! MUNGU hawahi wala hachelewi, labda kama hujawahi kufanya maombi yeyote UKAJUA.Mzee Bagonza maombi yake yote kwa Lissu ili awe Rais yamegonga mwamba.
Ndo maana ujambazi mwingi Kenya.Hayati Uhuru Kenyatta; "Mimi ninaongoza Wakenya walio lala usingizi kesho wakiamka watahoji, lakini jirani yangu yeye anangoza wafu". Na kweli baada ya miaka kadhaa Wakenya walipo amka kutoka usingizini KANU iliondoka madarakani!!!
Ushindi wa kishindo umegeuka shubiriMzee Bagonza maombi yake yote kwa Lissu ili awe Rais yamegonga mwamba.
Na huu ni Ushindi wa kishindo cha awamu pendwaMakamanda mnahali ngumu sana kwakweli.
hapo kunamada gani zaidi ya umbea tu.
"haya ngoja basi nikachukue buku saba"voice by makamanda wa mitandaoni[emoji23]
Ili uwe huru lazima ushabikie chadema?