Askofu Benson Bagonza adai kuna wanaotaka kumdhuru, wamefika Karagwe

Vilaza bado Mnapiga ngoma wenyewe na Kuyakata mauno Wenyewe
Poleni
 
CAG Assad alijaribu kuanika uovu huo mkamuonea na mkamtumbua upesi !!!
 
Acheni akili matako nyie, huyo mwuaji wenu hafiki mbali lazima arudishe jezi mapema tu Mungu hapendagi ujinga! Hatuwezi kuvumilia kuwa na kidudu mtu kinachopenda kutia watu hofu!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ona haka nako, huwezi kuvumilia wewe na nani? Na huyo muuaji ni nani? Kumbe unamjua sasa si mumfuate na risasi hata za kukodi mkampige aache kuua watu?

Umeanza tena kuleta mikwara yako kama ile ya wakati wa kampeni?

Bagonza inamtesa dhambi ya kumshabikia loser Lisu, na tulimuonya yeye kama kiongozi wa tasisi kama KKKT hapaswi kufanya vile. Unaona sasa tabu anayopata?

Haamini katika Mungu ndio maana mimi nasemaga hata tunguli atakuwa nazo lazima. Wakati wenzie wameungana kuomba kwa ajili ya corona yeye alifunga makanisa kwenye dayosisi yake ili kuwafurahisha kina Mbowe, yani tz nzima ni yeye pekeeake ndio alifunga makanisa kwa sababu yeye ana phd na ana akili sana, yani hata wapagani walimzidi kiimani huyu askofu,!
 
MSHIKA MAWILI MOJA HUMPONYOKA........

MUNGU HAJAWAHI KUMFICHA MNAFIKI........MUDA UTATUPA MAJIBU.....
 

Habari mbaya hii na iwafikie wale nanihii wa kijani wakiwamo Senzighe wa Senzighe na huyu wa kutoka Kantalamba :



Yote kwa hisani ya uzi huu:


Beberu na adumu milele. Mkoloni mweusi bila ya Beberu ni mbwa mwitu ndani ya zuzu la kondoo.
 

Shameless, crapped in JF
 
Kwanini habari hizi zinahusishwa na serikali.....ina maana Bagonza hana maisha mengine nje ya siasa na kanisa...!???
 
Huyo bagonza naona ugonjwa umeanza kupanda kichwani sasa.
Wamefika karagwe siawakamate.

Awakamate wanaotumwa na wanaopaswa kumlinda? Kweli Lema amefanya uamuzi sahihi wa kukimbia nchi. Huyo Askofu namshauri akimbie nchi haraka.
 
Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!
Unajua isivyo. Yarabi toba, wiki hii umekula maharage gani? Kama ni wehu umechizika. Umepatwa na nini mjivuni juha?
 
WAFUASI WA UKWELI NA UHALISIA WAMEPUNGUA SAANA
WAFUASI WA UONGO, UNAFIKI NA ULAGHAI WANAONGEZEKA KILA KUKIKUCHA........
 
Kwa hiyi Askofu nayr anataka kuwa mkimbizi wa kisiasa huko majuu?
Watangulizi washauriwa washaend.
 
Ninavyojua Watu wakikuamulia hasa Kukumaliza huwezi kamwe kujua na hata wa karibu yako hakuna ambaye atajua. Sasa huyu Askofu anatuboa!

Lakini sio mmoja au wawili waliosema uhai wao uko hatarini na kweli yakatokea. Je hayo yaliyotokea yalishindikanaje kufichwa?
 

Bandiko lako refu linajichanhanya. Unamuunga mtu mkono iwapo umeona uchaguzi wa haki na sio vinginevyo. Iko siku utataka watu wauonge mkono serikali ya kijeshi. Kuingia madarakani kihalali kunakupa haki ya kutaka kuungwa mkono, na sio kinyume chake.
 
Mbona unatukana?
Sithubutu kutukana. Nikisema fulani ni mwerevu nimetukana? La hasha! Ni sifa yake. Werevu wanahesabika. Waliobaki ama ni wajinga au ni wapumbavu. Wewe umo kundi la wapumbavu. Hawajifunzi kutokana na makosa ya watu wengine wala kutokana na makosa yao wenyewe. Tusi li wapi wakati wewe Mudawote ni mpumbavu muda wote. Mpumbavu mpumbavu kwa sababu atenda kipumbavu. Acha kutenda kwa upumbavu. Na hakuna atakayekuita mpumbavu. Kwa sababu si mpumbavu. Kama ni tusi wajitukana mwenyewe kwa vile utendavyo kwa upumbavu. Hivyo wewe Mudawote unakuwa mpumbavu muda wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…