Askofu Dkt. Bagonza amshukia Lugola kwa kumfananisha Magufuli na Yesu. Asema hii laana lazima itafune mtu na Taifa

Kwa sasa ni lazima umtumikie kafiri ili upate mradi wako, Baba askofu yeye haogopi kupotezwa!?
 
Huyu sijui Askofu aliupataje biblia inasema Ktk Yohana 1 : 12
Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; (Yohana 1:12)Yesu ni mwana wa Mungu, kuna ubaya gani kujifananisha na Yesu? Kitabu cha mwanzo kinasema tumeumbwa kwa mfano wa Mungu (Mwanzo 1:27)
Mwanzo 1 : 27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba., Kwani kuna ubaya gani kusema ninafanana na Mungu? Mungu anachozuia kujitukuza (Isaya 42:8) Isaya 42 : 8
Mimi ni Bwana; ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu. Askofu asome biblia. Mungu ibariki Tanzania
 
Hawa itakuwaje maana yake wamejifananisha na yesu na mpaka tukiangalia filamu zao tuna waita yesu
 

Attachments

  • bb.PNG
    425.6 KB · Views: 1
Rubbish ,ondoeni picha kwenye nyumba zenu za yule jamaa aliejifanya yesu kwa kumuigiza na picha hizo ndio zimegeuka mapambo ya nyumba zenu,hilo Bagonza halioni ?,aache ujinga wake,Lugola yuko sawa kabisa
 
Udikiteta ni Nini???
Nafikiri unajua udikteta ni nini manake huwezi kujikomboa kutoka udikteta kama huujui. Ni mfumo wa utawala ambapo kiongozi anahodhi madaraka na kuamrisha walio chini yake wafanye atakavyo yeye bila mjadala au ushirikishwaji wa wengine. Ni matumizi ya nguvu ya dola kuwadhibiti watu/umma kwa faida ya kiongozi aliyeko madarakani. Inasikitisha sana kwamba tunaye mtu kama huyu kwenye taifa letu lililokuwa linaheshimika kwa demokrasia.
 
Kwa theolojia ya kisiasa kange yuko right jesus of chato and Jesus of Nazareth
Mungu ametuumba kwa sura na mfano wake hivyo binadamu anamwakilisha mungu na ukimpenda binadamu umempenda MUNGU

Hivyo ufananisho yesu ni Mungu kwa mantiki ya kiteolojia isipokuwa ukiongeza maneno mengine yenye mrengo wa kushusha heshima yaMungu
 
Halafu bagonza sio mwema kiasi cha kuwanyooshea wengine vidole.
Bangoza ninWakili wa Kristo, ni Wakili wa Biblia. Wewe ndiebunaejua sio mwema kwa Wakristo tunajua maana ya askofu na maana yake katika kanisa. Endelea kuwaza ujuavyo ila sisi tuajua ni mpakwa mafuta wa bwana...
 
Kweli kiongozi mkubwa wa kidini askofu. Kuna Mambo ya wanasiasa wanajitafutia laana wenyewe. Kwanza Magufuli hajamtuma huyo kenge. Kaamua mwenyewe kukufuru hakutumwa anatafuta Jimbo tuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Alitakiwa akemee aliyefananishwa na yesu,mbona kule kilosa mkoani Morogoro yule mtumishi aliye kichana kitabu cha koroan ,licha ya mtuhumiwa kupelekwa mahakamani,lakini yesu wa Tanzania alitangaza kumfukuza kazi.
 
Bagonza angemfananisha "jamaa" na mtume "mwamadi" hivi kweli WAislamu wangekaa kimya mpaka muda huu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…