Askofu Gamanywa: Makonda yuko sahihi Ushoga umekatazwa kwenye Biblia, wananchi acheni kushabikia dhambi

Askofu Gamanywa: Makonda yuko sahihi Ushoga umekatazwa kwenye Biblia, wananchi acheni kushabikia dhambi

Tokea Mokonda alipo release ile video ya mkono wa bouncer, Gwajima kawa hovyo kabisa
 
Msikimbilie kwenye ushoga.Uganda wamepitisha sheria kali kabisa kuusiana na ushoga na hawajafungiwa ndio kwanza wameongezewa na funding kutoka PEPFAR, Tusisingizie hivyo vitu sababu ni demokrasia na involvement yake kwenye issue za kuminya demokrasia pamoja na "credible information" walizonazo kuhusiana na uhusika wake kwenye mambo hayo.
Ni kweli ushoga siyo sababu kabsa ya marekani kumkataa Daud Bashite, ebu watetezi wa uovu wa Bashite oneni aibu acheni ujinga acheni kuja na visingizio vya kijinga jinga
 
Ki ukweli Ushoga haupendezi na zaidi ya 99% hawaukubali ushoga.Ila kwa ujumbe ule wa US hakuna mahali nimeona ushoga. Alafu nikivuta picha jinsi Raisi wa Uganda alivyoweka vikwazo juu ya ushoga basi yeye ndo angekuwa wakwanza kuguswa na hii adha.
Kushika kaa la moto huku wajitetea sio la moto anae dhuriaka ni mshikaji.
Ingependeza tujadili waliyo yataja alafu tupinge kwa hoja kuwa wamemuonea sio kuleta dhahania
Kwani wanayotendewa wapinzani kule Uganda yana tofauti gani na wanayo mtuhumu Makonda?
Ina maana wamarekani hawayaoni ya Uganda?
Hawakumsikia Bobi Wine ambae alipelekwa Marekani akiwa kwenye Wheelchair?
 
Kwani wanayotendewa wapinzani kule Uganda yana tofauti gani na wanayo mtuhumu Makonda?
Ina maana wamarekani hawayaoni ya Uganda?
Hawakumsikia Bobi Wine ambae alipelekwa Marekani akiwa kwenye Wheelchair?
Sasa kama Uganda wanafanya ndiyo Daud Bashite afanye na yeye? Kwa kuwa Uganda hawajasemwa na marekani ni ruksa Daud Bashite aendelee kuwatesa watu?
 
Kama tatizo ni ushoga, Makonda endelea. Hata ukiondolewa, mashoga tuwe tumewamaliza. Anayewataka wamarekani kwa ushoga, awafuate.
 
Gwamanywa endelea kujitoa ufahamu tu....Habari ya Mjini ni MIKE POMPEO kumla BAN BASHITE kwa KUUA WATU.
Unamshangilia nani? Pom nini? Malawiti hawa! Shauri yako. Ukiona mtu anamshangilia mmarekani kwa Afrika, ujue ufahamu uko hoi. Hakuna nchi iliyosaidiwa na US ktk Africa hii na ikaendelea. Sitegemei chochote chema toka US!
 
Huyu nae ni askofu?
Lakini ni kweli usiopingika kwamba kila kitu kina kinyume chake. Kama vile giza na nuru, mwanga na usiku, joto na baridi nk
Kwa hawa wa kidini kama vile kulivyokuwa na Habeli na kaini, Musa na Balaam, Yeremia na Nehemia, Yesu na Yuda, ndivyo ilivyo kwa sasa hapa Tz.
Kuna wawakilishi wa Mungu katika kuusimamia ukweli na wasaka tonge kwa kivuli cha dini.
Gamanywa ni miongoni mwa wasaka tonge.
Wengi wa wale viongozi wa dini waliopo kwenye inayojiita kama ya amani ni wasaka tonge wanaolipwa mshahara wa udhalimu kuficha maovu ya watawala kwa kuwabatiza majina mazuri wasiyo yastahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngozi nyeusi ni laana!!

Eti hawa ndio viongozi wa kiroho wanaotakiwa kuona haki za raia zinalindwa na kuiheshimiwa!!
Raia yupi,shoga?Haki za shoga zilindwe,zipi,za kuingiliwa kinyume na maumbile!Mungu anawaona na laana iko juu yenu.
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo

Akasome tena ile barua.
 
Askofu Gamanywa ambaye ni mjumbe wa kamati ya amani na juzikati aliliombea taifa pale Ikulu katika utiaji saini mkataba wa Barrick na Serikali amesema Marekani inamuonea Makonda.

Askofu Gamanywa amesisitiza kuwa ushoga ni katazo mbele za Mungu na ni dhambi isiyosameheka.

Gamanywa amedai kuwa Makonda ni kiongozi hodari, shujaa na mwenye uthubutu na kwamba hapa Tanzania hakuna mtu mwenye ubavu wa kuikemea Marekani kama alivyofanya Makonda.

Askofu Gamanywa ameitaka Marekani ijitafakari juu ya uamuzi wake usio wa haki.

Source: Ibadani BCIC - Mbezi jogoo
Huyu askofu mjasiliadini type ya mwamposa,
 
Wapendwa maaskofu mnao tafuta mkate wenyu wa kila siku, Muogopeni Mungu!!! Usishabikie tu kumtetea DAB kwa sasa hivi. Jua kwamba, tatizo sio yeye kutoenda US, tatizo ni je, ametambua yaliyo andikwa kwenye ile barua ya Pompeo?? Msomeeni, msaidieni aielewe. Kama kaja kwenu kusema kuwa, ameonewa kwa kuichukia dhambi mwambieni kuwa; Barua ya Mr. Pompeo imesema mengi sana makubwa ya kutisha kuwa yeye RC wa Darisalama anatenda maovu. Mfano; Atiii; Anazuia haki za watu wengine kuishi. Sio kuishi kwa raha zao za kishoga bali kuishi yaani anawakatisha uhai.
Mh Baba askofu, naomba nenda tu ukatubu. Hao waumini ulio wadanganya leo hii ni wengi mno. Ukawaambia ati DAB amenyimwa kuingia US kwa sababu ya kuipinga dhambi ya ushoga. No, hiyo si kweli hata kidogo. Askofu nakusahihisha. Usiangukie mtego huu. We ni mtu wa maana sana ila ukifanya mchezo utajidhalilisha. Tutakuona kama Msaka tonge.
Mheshimiwa sana pompelo atuambie kitendo cha kumuua General wa vita kule iran ilikua sahii , au yeye hana haki ya kuishi?
 
Back
Top Bottom