Huyo akifika mbele ya kamati tu ,napendekeza wamdunge chanjo kwanza ili akiwasimulia kondoo wake awe anaongelea uhalisia,Ila sii Kama Sasa,anawadanganya kondoo wake.Safi sana... kama kweli ndugu...yabidi tuone uwezo wao na akina mkuchika... watu huwa wakitoka huko huwa wanakuwa kimya kama Paschal Mayala...sijui huwa wanatishiwa nini huko kwenye hiyo kamati...
Kuchanja ni hiyari!Huyo akifika mbele ya kamati tu ,napendekeza wamdunge chanjo kwanza ili akiwasimulia kondoo wake awe anaongelea uhalisia,Ila sii Kama Sasa,anawadanganya kondoo wake.
Atumue hiari yake vizuri na sio vibaya,na asiingilie hiari ya wengine,kama anataka hivyo.Kuchanja ni hiyari!
Aongoze tu, tunamsubiri mbele ya bazara.Kuna wachungaji wa kutosha tu bwashee!
Mchungaji mwema hulilinda kundi la kondoo kwa kuwaambia kila kitu kibaya kijapo!Atumue hiari yake vizuri na sio vibaya,na asiingilie hiari ya wengine,kama anataka hivyo.
Endelea kukariri!Hizi script zenu za maigizo mtawapata wasiofikiria!
Rudisha tv!Ibada ya Gwajima Leo itarushwa live kwenye Chanel gani?
Vile vile kasema kanisani leo moto utawaka naomba fire wakakae pale karibu wawahi kuzimaBwana Yesu aliye mponya na apewe sifa.
Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge.
Updates;
Leo watumishi watajikita katika kumuombea askofu Gwajima ili Mungu akamlinde katikati ya wajumbe wa kamati ya maadili!Vile vile kasema kanisani leo moto utawaka naomba fire wakakae pale karibu wawahi kuzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wajinga ni wali uliwao.Aendelee na story zake za kipuuzi za "666" na "freemason", kweli wajinga ndiyo waliwao
Mungu hachangamani na mzinzi, mwongo, tapeli, mzushi na mwizi wa kuraMungu wa Gwajima ni Mkubwa kuliko kingine chochote [emoji123][emoji123]
Wajinga wanapambana na kigogo mmoja ( ghost )Sema wajinga ni wali uliwao.
Ataenda kwa chopa binafsi!Ana tiketi ya basi?
Ukweli huyu Chid aliasisi genge lake kitambo sana sasa ndiyo ameamua kuingia front lakini nyuma yake ana watu wengi tena wenye misuli mikubwa ya kisiasa. Huu mpambano siyo wa kitotoKama ilivyo kawaida. Hayuko peke yake. Yeye kipaza sauti tu. Nyuma yake yupo slow slow,yupo bushir, yupo nepe na wengine kibao
Huyu anajitafunia kondoo kila anavyojisikia kufanya hivyo. Kamuulize Mbasha atakuthibitishia hili.Mchungaji mwema hulilinda kundi la kondoo kwa kuwaambia kila kitu kibaya kijapo!