jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Huna hoja wameleta ushoga haya kuwa shogaChanjo anayoipinga ni ya wazungu,makanisa yameletwa na wazungu,
Kwanini asiachane na kanisa aende kwenye matunguli ambayo ndiyo asili ya mtanzania na waafrika,alafu unajuta watul wazima na akili zai ambao yeye Gwajima anaowaita kondoo wamekusanyika kumsikiliza.