Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Du kimeumana tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du kimeumana tena?
Kweli aseeEndelea kutupa undambwi ndambwi....hansard zipo standby kuweka kumbukumbu....
Jibu swali uliloulizwa? au hata wewe mwenyewe huelewi ulichokiandika?Unafikiri kwa kutumia nini labda
Inauma sana sisi tunaotumia cm tukiingia hapo kwenye link inagomaIbada inaendelea Askofu anajibu mapigo ya shemejiView attachment 1902962View attachment 1902961View attachment 1902963
hahaahahahahaha R.I.P MWL Kashasha... hii kitaalam ulikuwa unaiita kabia kwa ndani
Inabaki kuwa ni maoni yako tu,si mbayaKatika sakata la chanjo kipindi cha Magufuli sote tulikuepo hakuna hata kiongozi mmoja aliyesapoti chanjo wote walisapoti njia zetu za asili
kwanzia...
Aakofu Gwajima anamshambulia Rais Samia kupitia mlango wa nyumaMwambie Gwajima Samia kawaona wanafaa ndio maana amewaacha kwenye nafasi zao, kama tatizo lipo basi linaanzia kwenye mamlaka ya uteuzi, na kuhusu chanjo kuwa na madhara baada ya miaka mitano ametumia kipimo gani? kwenye maabara ipi? au ni yale maigizo yake aliyotuambia Corona haitakuja Tanzania na ikaja? sikuwezi kumuamini kabisa huyu mtu.
Msikiti ni Mali wa wauminiPonda ana msikiti?
kama yalivyo maoni binafsi ya RashidiInabaki kuwa ni maoni yako tu,si mbaya
Tusubiri kesho kwenye kamati!Mpaka sasa Gwajima anaongoza 3 - 0 kaupiga mwingi sana🤣