mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Shule ya uongozi isisimamishwe!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeshapigwa spana tayari mkuuShule ya uongozi isisimamishwe!!
Na wewe nishakwambia ushabakiza umalaya wa kisiasa tu! Kazi kujipendekeza kwa watawala!Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais
Wanabodi, Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje? Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...www.jamiiforums.com
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Umesahau na Weusi vs Weupe mkuuKwahio Sasa Kuna Kiroboto vs Wahuni vs Amaleki
🤣🤣🤣..hii nchi aisee..!Nchi ina vituko hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi wajibu wetu ni kukoleza huu moto.Tuwaache hivyohivyo, hakuna kuamulia.
kiongozi mwenye atamu zote anapovunja sheria utamfanyajeMagufuli alipokuwa anasimama madhabahuni na kuongea upuuzi wake hukuyaona haya?
atamu = hatamu. Ukiona nchi wananchi wake wanasema kuna kiongozi mwenye hatamu zote basi ujue kuna tatizo kubwa kabisa. Kwa wale tunaoamini Mungu tunajua kabisa Mungu ni mkuu lakini bado pamoja na ukuu wake, hajajivika hatamu zote.kiongozi mwenye atamu zote anapovunja sheria utamfanyaje
Kabisa kabisa…Dunia itatucheka sana kuamulia watu wabaya kama hawa
Kwa upepo unavoenda hata mi Naona ndio mlengwaJe AMALEK ni Ndugai? ngoja tuone,
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Amaleki ni nani?View attachment 2048240
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Ohoo..Kumbe AMALEKI ni Job