Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Na wewe nishakwambia ushabakiza umalaya wa kisiasa tu! Kazi kujipendekeza kwa watawala!
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]

Maisha=siasa Labda km uwenda uelewi hivyo
 
Tupeni link ya anachoongea leo ama hajaita waandishi wa habari leo saa 5 asubuhi
 
Back
Top Bottom