Joshua justine
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 792
- 1,015
[emoji1787][emoji1787]Tuwaache hivyohivyo, hakuna kuamulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Tuwaache hivyohivyo, hakuna kuamulia.
Kawe ni uwanja tu anapofanyiaga hata Mwakasege.Kwani kanisa lake la kule Kawe alifunga?
Nani alikuambia mtu kuondoka duniani ndio mwisho wa mambo yake yote? Hata Yesu na Muhammad walishaondoka duniani kitambo.Hiyo nguvu mbona haikusaidia rafiki yake kipenzi asionsoke duniani? Au anajua tu kuangamiza hajui maombi ya kuokoa.
Hii nchi hii, isije kuwa wanafanya biashara ya makato tunaponunua bando, maana wameshajua pakupatiaa pesa zetu , zamani ijumaa na kiu alipiga pesa za raia sana shigongo,Nchi ina vituko hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Upuuzi wake ni upi?
Kwamba Yohana ni sawa na Yesu au Mohammed?Nani alikuambia mtu kuondoka duniani ndio mwisho wa mambo yake yote? Hata Yesu na Muhammad walishaondoka duniani kitambo.
Ibilisi huyo ni CCMDunia inamilikiwa na ibilisi, hapo ndo shughuli ilipo........
Sie tutacheka tu maana Kuna Wana CCM wameshakata ticket za kupelekwa BirminghamNa wakimng'oa kwenye ubunge atawapiga kwelikweli, kwa uhuru wote.
Hahhahaah utaambiwa sio mzalendoMiaka 60 ya UHURU nchi ni masikini huku wananchi wanalima juu ya ardhi yanye dhahabu, almas, Ruby, mafuta,gesi nk.Yaani wamepigwa upofu aibu sana.
Yaani watz hata kugeuza udongo kuwa tofali za kuchoma au interlocking plus kugeuza udongo kuwa vigae waezeke nyumba waishi pazuri,au kugeuza takataka za plastic kuwa tofali,mbao, vigae vya kuezekea, tiles za sakafu eti nao hawawezi kama sio kufungwa ni nini.
Viongozi wa dini waungane tuvunje maagano ya kipepo yaliyowekwa na washirikina Ili upofu ututoke.
Iweje wageni ndo wanufaika wa madini.
Kama inaleta mgogoro si watu waulize sifa za amaleki kwa wanazuoni wa maandiko, halafu wachague kama amaleki wanamuhitaji nchi hii ama vipi, kwani tatizo lipo wapi,Kwani huyo Amaleki katika nchi ni nani? Yaani wafutiwe usajili wao kwa sababu ya huyo Amaleki? What if huyo Amaleki ni wakala wa shetani hapa nchini?
Sasa mkimtwanga amaleki si mtakuwa mnamtwanga fisiemu......wale wahuni, buku 7 nk. watakula wapi?Ibilisi huyo ni CCM
Pia tambua kwamba makanisa yanapaswa kujali ustawi wa watu wake kimwili (haki, uhuru na amani) maana bila hivyo kuhudumia roho itakua ngumu. Kwenye kutimiza hayo msisitizo umewekwa zaidi kuhudumia roho maana imeandikwa kamwe hatuwezi kutimiza tamaa za mwili na mwili hushinda na roho. Kuhusika kwa kanisa kwenye siasa ni katika kubalance mahitaji mwili na yale ya roho.SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Kwann iwe sisi tuDunia inamilikiwa na ibilisi, hapo ndo shughuli ilipo........
Mfano tu, kwamba kufa kwa mtu si mwisho wa misingi au falsafa iliyoachwa na aliyeondoka.Kwamba Yohana ni sawa na Yesu au Mohammed?
Asante kwa ufafanuzi mzuri kuhusu hao waamaleki.
SWALI
Waamaleki walikuwa nani?
JIBU
Waamaleki walikuwa kabila waliotajwa kwanza wakati wa Ibrahimu (Mwanzo 14: 7). Ingawa Waamaleki hawatajwajwa katika meza ya mataifa katika Mwanzo 10, katika Hesabu 24:20 wanaitwa " wa kwanza kati ya mataifa." Mwanzo 36 inataja wana wa Amaleki, mwana wa Elifazi na mjukuu wa Esau, kama Waamaleki (mistari 12 na 16). Hivyo, Waamaleki walikuwa kwa namna fulani kuhusiana na, lakini tofauti na, Waedomu.
Maandiko yana kumbukumbu ya kudumu ya vita kati ya Waamaleki na Waisraeli na mwongozo wa Mungu wa kuwaondoa Waamaleki duniani (Kutoka 17: 8-13; 1 Samweli 15: 2; Kumbukumbu la Torati 25:17). Suala la Mungu kuwaita watu wake kuangamiza kabila nzima ni swali ngumu, lakini kuangalia historia inaweza kutoa ufahamu fulani.
Kama makabila mengi ya jangwa, Waamaleki walikuwa wahamaji. Hesabu 13:29 huwaelezea kama wazaliwa wa Negev, jangwa kati ya Misri na Kanaani. Wabiloni waliwaita Sute, Wamisri Sittiu, na bamba za Amarna huwaita Khabbati, au "waporaji."
Ukatili wa Waamaleki kwa Waisraeli ulianza kwa shambulio la Refidimu (Kutoka 17: 8-13). Hii inaelezewa katika Kumbukumbu la Torati 25: 17-19 na shauri hili: "Kumbuka aliyokufanya Amaleki katika njia mlipokuwa mkitoka Misri;jinsi alivyokukuta katika njia, akapiga katika watu wako walioachwa nyuma, wote waliokuwa wanyonge nyuma yako, ulipokuwa umechoka na kuzimia; wala asimche Mungu. Basi itakuwa, hapo atakapokwisha kukupumzisha Bwana, Mungu wako, katika adui zako wote walio kando-kando, katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi uimiliki, ndipo uufute ukumbuko wa Amaleki chini ya mbingu; usisahau!"
Waamaleki baadaye wakajiunga na Wakanaani na kuwashambulia Waisraeli huko Hormah (Hesabu 14:45). Katika Waamuzi walijiunga na Wamoabu (Waamuzi 3:13) na Midiani (Waamuzi 6: 3) ili kupigana vita kwa Waisraeli. Walisababisha uharibifu wa mara kwa mara katika ardhi ya Israeli na ugavi wa chakula.
Katika 1 Samweli 15: 2-3, Mungu anamwambia Mfalme Sauli, "Bwana wa majeshi asema hivi, Nimeyatia moyoni mwangu mambo hayo Amaleki waliyowatenda Israeli, jinsi walivyowapinga njiani, hapo walipopanda kutoka Misri. Basi sasa enda ukawapige Amaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyo navyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, mtoto naye anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda."
Kwa kujibu, Mfalme Sauli kwanza anawaonya Wakeni, marafiki wa Israeli, kuondoka eneo hilo. Halafu akawashambulia Waamaleki lakini hakukamilisha kazi hiyo. Akamwacha Mfalme Agagi hai, akajinyakulia mali yake mwenyewe na jeshi lake, na kisha akadanganya ni kwa nini alifanya hivyo. Uasi wa Sauli dhidi ya Mungu na amri zake ni mbaya sana kwamba anakataliwa na Mungu kama mfalme (1 Samweli 15:23).
Waamaleki waliokimbia waliendelea kuvuruga na kuwapora Waisraeli kwa vizazi vilivyofuata mamia ya miaka baadaye. Samweli wa kwanza 30 inaripoti uvamizi wa Waamaleki huko Ziklagi, kijiji cha Yudea ambapo Daudi alimiliki mali. Waamaleki waliteketeza kijiji na wakawachukua mateka wanawake na watoto wote, ikiwa ni pamoja na wake wawili wa Daudi. Daudi na jeshi lake waliwashinda Waamaleki na wakaokoa mateka wote. Hata hivyo, mamia chache ya Waamaleki walitoroka. Baadaye, wakati wa utawala wa Mfalme Hezekia, kikundi cha Washimeoni "waliwaua Waamaleki" waliokuwa wakiishi katika mlima wa Seiri (1 Mambo ya Nyakati 4: 42-43).
Waamaleki wametajwa mara ya mwisho katika kitabu cha Esta ambapo Hamani wa uzao wa Agagi, Uzao wa mfalme wa Waamaleki Agagi, anashiriki katika mpango wa kuwaangamiza Wayahudi wote wa Persia kwa amri ya Mfalme Ahasuero.Mungu aliwaokoa Wayahudi katika Uajemi, hata hivyo, Hamani, wanawe, na maadui wengine wa Israeli waliangamizwa badala yake (Esta 9: 5-10).
Chuki cha Waamaleki kwa Wayahudi na majaribio yao ya mara kwa mara ya kuwaangamiza watu wa Mungu yalipelekea adhabu yao ya mwisho. Hatma yao inapaswa kuwa onyo kwa wote ambao watajaribu kupinga mpango wa Mungu au ambao watalaani kile ambacho Mungu amebariki (tazama Mwanzo 12: 3).
Inawezekana tumeingizwa maagano ya ulozi ulozi, black witch craft ambao hautaki maendeleo....rejea kisa cha kwa msisi na ujenzi wa barabara.Kwann iwe sisi tu
Wajinga na wapumbavu wamesemwa sana kwenye biblia!Mkristu anayetukana ivyooo? Makubwa!!!
True wazee na machief ni watu wabaya Sana hawataki mabadilikoInawezekana tumeingizwa maagano ya ulozi ulozi, black witch craft ambao hautaki maendeleo....rejea kisa cha kwa msisi na ujenzi wa barabara.