Miaka 60 ya UHURU nchi ni masikini huku wananchi wanalima juu ya ardhi yanye dhahabu, almas, Ruby, mafuta,gesi nk.Yaani wamepigwa upofu aibu sana.
Yaani watz hata kugeuza udongo kuwa tofali za kuchoma au interlocking plus kugeuza udongo kuwa vigae waezeke nyumba waishi pazuri,au kugeuza takataka za plastic kuwa tofali,mbao, vigae vya kuezekea, tiles za sakafu eti nao hawawezi kama sio kufungwa ni nini.
Viongozi wa dini waungane tuvunje maagano ya kipepo yaliyowekwa na washirikina Ili upofu ututoke.
Iweje wageni ndo wanufaika wa madini.