Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Wewe ni njinga na mpumbavu usiyejitambua! Kwa hiyo kwako wewe kisa Gwajima anakosoa serkali ndo uzungumzie kanisa lake? Pambaneni na Gwajima sio kanisa lake kwa sisi wakristo tunaamini kanisa ni mwili Kristo mwenyewe!
Mkristu anayetukana ivyooo? Makubwa!!!
 
Mnajidanya, CCM ni moja na ile ile na mtaendelea kujifariji humu JF na CCM ikiongoza kwa miaka mingi ijayo.
CCM ipi ni moja? Hii ambayo mwenyekiti wa CCM wa mkoa alisema wazi kwamba tumechagua rais mwehu?. CCM ipo madarakani kwa sababu ni chama dola. Huwezi kutenganisha CCM na dola, jeshi, Mahakama na Bunge vyote ni Mali yao.

Ndio maana Rais Samiah Mwenyekiti wa CCM ndio anayetoa ruhusa vyama vya siasa vifanye au visifanye mikutano ya hadharani. Halafu huyo huyo kwenye uchaguzi mkuu anasimama kugombea na wale ambao amewakataza kufanya mikutano.
 
Inawezekana mwenge ndo amaleki mwenyewe, au ni chifu mkuu hangaya ngoja tusubiri mrejesho.....
 
View attachment 2048240

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?

Mchungaji anaongea na familia yake, waumini wake

Inategemea Amaleki wako unayemuongelea wewe ni nani? Anaweza kuwa magonjwa, ugumba, matatizo ya kijamii nk
 
Amalek anatikitwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!. Ikiwa Mungu amekusudia Watu wawe na maisha muruwa, halafu lipo liabudu shetani limoja linasimama na Amalek anayezuia watu wasiwe na maisha Murua, haijalishi limeasisiwa mapangoni ama makaburini ama majini, Leo ni kipigo!. Amaleki safari hii anashika adabu! Muda wake umekwisha!.
Amalek Apiiigweee.......!
 
Mungu wa visasi Ni Mungu wa gwajima muigiza porn tu....Mungu wetu ni waupendo na msamehevu siku zote
 
Askofu angeanza kwa kufunga,kuvunja Yale maagano ya mapangoni bagamoyo.Moja ya masharti waliyopewa "UHURU mtapata lakini lazima nchi iwe masikini" hawa wazee wapumbavu Sana kukubali masharti ya kijinga toka kwa shetani.
Kuwa huru lakini haupo huru dhidi ya umasikini ni kuruka mkojo.
Ni bora tusingekuwa huru lakini tupo huru dhidi ya umasikini,maradhi na ujinga.
Inasikitisha sana.....
 
Inasikitisha sana.....
Miaka 60 ya UHURU nchi ni masikini huku wananchi wanalima juu ya ardhi yanye dhahabu, almas, Ruby, mafuta,gesi nk.Yaani wamepigwa upofu aibu sana.
Yaani watz hata kugeuza udongo kuwa tofali za kuchoma au interlocking plus kugeuza udongo kuwa vigae waezeke nyumba waishi pazuri,au kugeuza takataka za plastic kuwa tofali,mbao, vigae vya kuezekea, tiles za sakafu eti nao hawawezi kama sio kufungwa ni nini.
Viongozi wa dini waungane tuvunje maagano ya kipepo yaliyowekwa na washirikina Ili upofu ututoke.
Iweje wageni ndo wanufaika wa madini.
 
Bado Moshi unafuka "kweri kweri"! Wamegeukiana wenyewe kwa wenyewe sasa. Askofu Gwajima saa chache kabla ya kuhojiwa na Wana CCM wenzie ameamua kufunga 72hrs Ili kumng'oa Amaleki katika nchi....

Hii ngoma Bado mbichi sana, naomba popcorn [emoji897] hapo na juice bariidi.



View attachment 2048289
Anahangaika bure huyu mpuuzi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Miaka 60 ya UHURU nchi ni masikini huku wananchi wanalima juu ya ardhi yanye dhahabu, almas, Ruby, mafuta,gesi nk.Yaani wamepigwa upofu aibu sana.
Yaani watz hata kugeuza udongo kuwa tofali za kuchoma au interlocking plus kugeuza udongo kuwa vigae waezeke nyumba waishi pazuri,au kugeuza takataka za plastic kuwa tofali,mbao, vigae vya kuezekea, tiles za sakafu eti nao hawawezi kama sio kufungwa ni nini.
Viongozi wa dini waungane tuvunje maagano ya kipepo yaliyowekwa na washirikina Ili upofu ututoke.
Iweje wageni ndo wanufaika wa madini.
Dunia inamilikiwa na ibilisi, hapo ndo shughuli ilipo........
 
Back
Top Bottom