Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Askofu Gwajima atangaza mfungo wa kumng'oa AMALEKI katika nchi

Asante kwa ufafanuzi mzuri kuhusu hao waamaleki.

Ni watu waliowanyanyasa sana waisraeli mpaka waisraeli wakatamani wawafute kwenye uso wa dunia...swali la kujiuliza huyu AMALEKI anayemzungumzia Gwajima ni nani haswa??
Nahisi atakuwa amemlenga COVID-19 anaesumbua, kunyanyasa na kuwatesa Watanzania na dunia kwa ujumla.
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Magufuli alipokuwa anasimama madhabahuni na kuongea upuuzi wake hukuyaona haya?
 
Bado Moshi unafuka "kweri kweri"! Wamegeukiana wenyewe kwa wenyewe sasa. Askofu Gwajima saa chache kabla ya kuhojiwa na Wana CCM wenzie ameamua kufunga 72hrs Ili kumng'oa Amaleki katika nchi....

Hii ngoma Bado mbichi sana, naomba popcorn 🍿 hapo na juice bariidi.



View attachment 2048289


Komaa nao hapo hapo baba askofu hauko peke yako:

IMG_20211218_115044_020.jpg
 
SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Naona wanamchekea
 
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
 
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P

Mkono wa baunsa alikua anajiona ana nguvu sana halafu sasa kalowana
 
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Mwaka wako huu. ongeza juhudi upewe ata u Ukuu wa wilaya teh teh teh
 
View attachment 2048240

Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.

kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Wengi tunamuunga mkono kwa njia ya Novena isiyo na kikomo kumng'oa amaleki! [emoji23]
 
Kwa hiyo mfalme Amaleki yupo hapa nchini? Basi aondoke kwa kweli naona watu wameshataharuki 😂😂😂😂
Kama inaleta mgogoro si watu waulize sifa za amaleki kwa wanazuoni wa maandiko, halafu wachague kama amaleki wanamuhitaji nchi hii ama vipi, kwani tatizo lipo wapi,
Maombi kama hayo nchi hii makanisani yanapigwa kila siku , mifungo ipo kila siku, mikesha ya kuombea taifa ipo kila siku,
 
Back
Top Bottom