Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanakuwaga fasta sana kumsimika chifu wao mkuu......True wazee na machief ni watu wabaya Sana hawataki mabadiliko
Sasa hatukuzwi Mungu bali mnamtukuza mtu?Huyu jamaa sio wa mchezo,ndie aliyemuokoa jiwe na kombola la moshi wa ruangwa.
Hahahahaha walikopeleka mboga dadeeeekiSasa mkimtwanga amaleki si mtakuwa mnamtwanga fisiemu......wale wahuni, buku 7 nk. watakula wapi?
Yeye na Polepole wamebaki yatima, lakini wanajaribu kudeka wakisahau kuwa yatima hadeki.Huyu Gwajima alishiriki katika harakati za kuutafuta ushindi bandia uliomuweka Amaleki madarakani.
Nahisi atakuwa amemlenga COVID-19 anaesumbua, kunyanyasa na kuwatesa Watanzania na dunia kwa ujumla.Asante kwa ufafanuzi mzuri kuhusu hao waamaleki.
Ni watu waliowanyanyasa sana waisraeli mpaka waisraeli wakatamani wawafute kwenye uso wa dunia...swali la kujiuliza huyu AMALEKI anayemzungumzia Gwajima ni nani haswa??
Magufuli alipokuwa anasimama madhabahuni na kuongea upuuzi wake hukuyaona haya?SHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Anafanya haya kwa mamlaka ipi.Sasa hatukuzwi Mungu bali mnamtukuza mtu?
Na huwezi kuwa chief kama wewe sio gwiji.Na wanakuwaga fasta sana kumsimika chifu wao mkuu......
Bado Moshi unafuka "kweri kweri"! Wamegeukiana wenyewe kwa wenyewe sasa. Askofu Gwajima saa chache kabla ya kuhojiwa na Wana CCM wenzie ameamua kufunga 72hrs Ili kumng'oa Amaleki katika nchi....
Hii ngoma Bado mbichi sana, naomba popcorn 🍿 hapo na juice bariidi.
View attachment 2048289
Akiweza afanye tu. Kwani nini.
Naona wanamchekeaSHERIA IANGALIE UPYA BAADHI YA HAYA MAKANISA AMBAYO HUWA YANACHUKUA MUDA MWINGI ZAIDI KUHUBIRI HABARI ZA CHUKI NA SIASA BADALA YA KULISHA WAUMINI CHAKULA CHA KIROHO UPENDO UMOJA MSHIKAMANO NA KUMLILIA NA KUMSUJUDIA MOLA WETU JUU YA USTAWI MWEMA WA TAIFA LETU NADHANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI IPITIE SAJILI ZAO UPYA WAKUMBUSHWE MAJUKUMU YA LESENI ZAO [mpwa wangu simbachawene wakumbushe wana]
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Vitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais
Wanabodi, Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje? Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...www.jamiiforums.com
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Mwaka wako huu. ongeza juhudi upewe ata u Ukuu wa wilaya teh teh tehVitu kama hivi ni vizuri sana, kwasababu ndio vitathibitisha huyu ni mtumishi wa Mungu wa kweli au ni mtumishi wa mungu tuu!.
Kama ni mtumishi wa Mungu kweli, ndani ya saa 72, Amaleki anang'olewa!, lakini kama ni mtumishi wa Mungu tuu, mnaweza kukuta ndio kwanza, anayengolewa ni yeye!.Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais
Wanabodi, Manabii wa Uongo na Tutawatambuaje? Kwa sisi waumini wa dini ya Kikristo, tunayemwamini Bwana wetu Yesu Kristo, kabla hajapaa mbinguni, alituhusia kuwa "kutajitokeza manabii wa uongo, ambao watahubiri neno na kutoa mapepo kwa jina langu lakini sii wangu". Wanafunzi wake wakamuuliza...www.jamiiforums.com
Na tusubiri hizo saa 72!.
P
Wengi tunamuunga mkono kwa njia ya Novena isiyo na kikomo kumng'oa amaleki! [emoji23]View attachment 2048240
Saa chache kabla ya kwenda kuhojiwa na Kamati ya nidhamu ya chama chake (CCM), Mchungaji Josephat Gwajima ametangaza mfungo wa saa 72 kwa ajili ya kumng'oa (mtawala) Amaleki katika nchi.
kwani Amaleki mwenyewe anasemaje?
Kama inaleta mgogoro si watu waulize sifa za amaleki kwa wanazuoni wa maandiko, halafu wachague kama amaleki wanamuhitaji nchi hii ama vipi, kwani tatizo lipo wapi,
Maombi kama hayo nchi hii makanisani yanapigwa kila siku , mifungo ipo kila siku, mikesha ya kuombea taifa ipo kila siku,
Kwahio Sasa Kuna Kiroboto vs Wahuni vs Amaleki