#COVID19 Askofu Gwajima: Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi

CCM na Serikali yake inamuogopa sana Askofu Rashid Gwajima ameishika pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya kwani Gwajima ana 'watu'
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Mimi ni mwanaCCM,naheshimu maoni ya mtu.
Sasa wewe ndugu yangu,kwenye hicho kinachosemwa kuwa kasema Gwajima,tusi alilotukanwa Rais ni lipi?
Kuna tusi kweli hapo?
Au uchochezi tu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nimedungwa na niliendelea na kazi kama kawa sehemu nilodungwa ilikuwa na maumivu siku mbili basi
 
Gwajima anatukuna viongozi waliochanja live live.Huyu anatakiwa adhibitishe kauli au apigwe kipigo cha bilioni 7.5 hadi akili zikae sawa.
 
Siyo kwamba hao viongozi wamejifanya kuchanjwa na siyo kuchomwa chanjo feki? Au kuna chanjo feki zimeingizwa nchini?
 
Uhuru ni wa maoni sio facts, huwezi kusema soda za Coca Cola zina sumu halafu useme ni uhuru wa maoni.

Kusema viongozi wamechoma chanjo feki ni factual matter. Akitakiwa athibitishe ataweza?
Yule Afisa Elimu wa Arusha anawakilisha viongozi wa serikali walioigiza kichanja
 
Siyo kwamba hao viongozi wamejifanya kuchanjwa na siyo kuchomwa chanjo feki? Au kuna chanjo feki zimeingizwa nchini?

..Gwajima anatakiwa atoe ushahidi.

..Hizi ni tuhuma nzito kutolewa na Mheshimiwa mbunge.

..Kwenye post yako umetumia alama ya kuuliza. Maana yake huna uhakika.

..Gwajima alitakiwa apige " mkwaju " kiasi kwamba hakuna mtu atakayetumia alama ya kuuliza.
 
Mimi ni mwanaCCM,naheshimu maoni ya mtu.
Sasa wewe ndugu yangu,kwenye hicho kinachosemwa kuwa kasema Gwajima,tusi alilotukanwa Rais ni lipi?
Kuna tusi kweli hapo?
Au uchochezi tu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi si sio mwana CCM mwenzako tena ukome kunitajia tajia hayo mavyama yenu, kama ungesoma hata michango ya wengine pia na kama ungekuwa na akili timamu usingeniuliza upuuzi.
 
Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
CCM wanajua wanachofanya. Yaani hapo wananchi waache katiba mpya waelekeze nguvu kwa Gwajima
 
Na kimiss sana kile Chuma cha 'Mjeremani' kilikuwa hatar jiddah!

Mabalozi leo hii wanaenda Mahakamani kisutu, Amnest International inaipa maelekezo Serikali huru?

Kweli Tulipoteza Hariri March, 17

..mbona balozi wa Ujerumani alimtoa Tundu Lissu lockup?

..mbona balozi, tena mwanamke, alimsindikiza Lissu mpaka airport alikopanda ndege?

..yule ubabe ilikuwa ni kwetu Watz, akitishwa na mabeberu alikuwa akinywea.
 
Mimi si sio mwana CCM mwenzako tena ukome kunitajia tajia hayo mavyama yenu, kama ungesoma hata michango ya wengine pia na kama ungekuwa na akili timamu usingeniuliza upuuzi.
Ukiishia kusoma comment matusi utayakuta. Ni kama wewe ulinitusi hapa.
Haya na wewe ni maoni yako.

Watapima tu hapa kati ya mimi na wewe nani si timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mie nimedungwa na niliendelea na kazi kama kawa sehemu nilodungwa ilikuwa na maumivu siku mbili basi

Ndiyo maana nasema ningali nina huisha kanzidata yangu.

1. Severe headache
2. Loss of sense of balance
3. Body malaise
4. Kusikia kiu mfululizo
5. Mwili kuhisi baridi

Kwa siku 3 sikuweza kufanya lolote.

Ya wale wakuu kwenye uzinduzi imekuwa ikinizunguka mawazoni.

Maendeleo yote kuhusiana na kupata chanjo kimsingi niliyaweka hapa:

#COVID19 - Chanjo - Mrejesho: Wizara tambueni changamoto hizi

Comment #37 inahusika zaidi.
 
Kimeumana katika kujenga mnara wa Babeli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…