SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
CCM na Serikali yake inamuogopa sana Askofu Rashid Gwajima ameishika pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya kwani Gwajima ana 'watu'"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Wanastahili, kwani wao nani.
Mimi ni mwanaCCM,naheshimu maoni ya mtu.Nchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Angekuwa mpizani sasa hivi angekuwa hana korodaniUmeuliza swali zuri sana,ingekuwa mpinzani huyu angekuwa tayari yupo lock up,kuna double standards sana
Mie nimedungwa na niliendelea na kazi kama kawa sehemu nilodungwa ilikuwa na maumivu siku mbili basiBinafsi nimechanjwa na kwa siku 3 kutokea nilipochanjwa nilikuwa na headache ya hatari kuweza kufanya lolote. Hata kutembelea JF tu ilikuwa kwa mbinde.
SSH aliendelea na shughuli zake?!
Nimeongea na wenzangu wengi bado sijaweza kuwa na kanzidata ya kutosha kabla ya kumrukia ki Gwajiboy.
Kuna habari kuwa serikalini walishapata Pfizer mapema tu.
Simwungi mkono Gwajiboy kuhamasisha watu wasichanjwe, ila kwenye kuchanjwa wakuu hawa Gwajiboy anaweza kuwa na point.
Cc: Jumbe Brown BAK
Siyo kwamba hao viongozi wamejifanya kuchanjwa na siyo kuchomwa chanjo feki? Au kuna chanjo feki zimeingizwa nchini?..mimi sijaiona video.
..lakini kama kinachoripotiwa ni kweli basi Gwajima amevuka mpaka.
..kudai kwamba viongozi wamechomwa chanjo feki ili kuwalaghai wananchi ni tuhuma nzito.
..na kama tuhuma hizo si za kweli basi Gwajima atakuwa amekashifu na kutukana.
Yule Afisa Elimu wa Arusha anawakilisha viongozi wa serikali walioigiza kichanjaUhuru ni wa maoni sio facts, huwezi kusema soda za Coca Cola zina sumu halafu useme ni uhuru wa maoni.
Kusema viongozi wamechoma chanjo feki ni factual matter. Akitakiwa athibitishe ataweza?
Siyo kwamba hao viongozi wamejifanya kuchanjwa na siyo kuchomwa chanjo feki? Au kuna chanjo feki zimeingizwa nchini?
hii nchi ni kama hatuna amir jesh mkuu tuna sanamu tu
dharau zimezidi sasa
Mimi si sio mwana CCM mwenzako tena ukome kunitajia tajia hayo mavyama yenu, kama ungesoma hata michango ya wengine pia na kama ungekuwa na akili timamu usingeniuliza upuuzi.Mimi ni mwanaCCM,naheshimu maoni ya mtu.
Sasa wewe ndugu yangu,kwenye hicho kinachosemwa kuwa kasema Gwajima,tusi alilotukanwa Rais ni lipi?
Kuna tusi kweli hapo?
Au uchochezi tu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM wanajua wanachofanya. Yaani hapo wananchi waache katiba mpya waelekeze nguvu kwa GwajimaNchi ya ajabu sana, rais anatukanwa wazi wazi lakini kwa kuwa anayefanya hivyo ni askofu inachukuliwa poa tu lakini angekuwa sheikh au muislam tu tayari tungesikia kapewa kesi ya ugaidi au kapotea kabisa.
Na kimiss sana kile Chuma cha 'Mjeremani' kilikuwa hatar jiddah!
Mabalozi leo hii wanaenda Mahakamani kisutu, Amnest International inaipa maelekezo Serikali huru?
Kweli Tulipoteza Hariri March, 17
π π π12:0 dakika ni 13 ya mchezo[emoji846][emoji846]View attachment 1893261
Ukiishia kusoma comment matusi utayakuta. Ni kama wewe ulinitusi hapa.Mimi si sio mwana CCM mwenzako tena ukome kunitajia tajia hayo mavyama yenu, kama ungesoma hata michango ya wengine pia na kama ungekuwa na akili timamu usingeniuliza upuuzi.
Kama wanajiona wajanja wamtwange risasi kama walifanya kwa Tundu Lissu waone moto wake Gwajima ana 'watu' usifanye mchezoGwajima Ni wakuzimwa Kama mshumaa
Mie nimedungwa na niliendelea na kazi kama kawa sehemu nilodungwa ilikuwa na maumivu siku mbili basi
Kimeumana katika kujenga mnara wa Babeli!"Baadhi ya viongozi walioonekana wakichanjwa, wame-fake ili kuwahadaa wananchi. Inapofika mahali pa kuilinda Tanzania dhidi ya majanga, simuogopi mtu yeyote, siogopo kitu chochote hatuchanjwi"
Askofu Josephat Gwajima akizungumza kanisani kwake leo.!
My Take
Hii imevuka mipaka. Lakini mambo haya hayatokei bahati mbaya. Samia Suluhu umemuonea sana Mh.Mbowe acha upigwe tu mpaka utie akili.
Unakuja na ujinga wako eti ooh mimi ni ccm,kwahiyo!Ukiishia kusoma comment matusi utayakuta. Ni kama wewe ulinitusi hapa.
Haya na wewe ni maoni yako.
Watapima tu hapa kati ya mimi na wewe nani si timamu.
Sent using Jamii Forums mobile app