#COVID19 Askofu Gwajima: Bunge linaanza kesho, sitachanja hata kama itanilazimu kupoteza Ubunge nitarudi nyumbani

#COVID19 Askofu Gwajima: Bunge linaanza kesho, sitachanja hata kama itanilazimu kupoteza Ubunge nitarudi nyumbani

Tanzania tangu chanjo izinduliwe tarehe 4 August, ni watu laki 2 na ushee tu kati ya chanjo 1,084,000 zilizoletwa nchini.
Leo tarehe 15 kama mwitikio ungekuwa mkubwa, chanjo ingeisha mapema.
Watu wengi hawachanjwi.
245000/1084000% tafuta pasenti kama wajua hisabati.
Inabidi mkate na madawa yao mengine vinginevyo mnajitekenya na kucheka wenyewe
 
.kuu duniani kuna wanaume wengi sana mashoga na wanaona Sana, je hiyo inahalalisha wewe pia kuwa shoga?
Chanjo hamtaki ila madawa yao mengine mnatumia bila kuhoji hiyo ni akili au matope?
 
Niwape ushauri wa bure tu, hakuna kitu kibaya kama vitu vinavyogusa imani za watu. Naishauri serikali itumie busara inaweza ikaleta utengano wa nchi pasipo sababu za msingi na kumsababishia Mh Rais chuki isiyo ya lazima kwa baadhi ya raia wenye fear, ambayo to some extent ipo justified. Chanjo ni hiari, kama wanaopenda chanjo wanapewa nafasi ya kueleza kwanini tuchanjwe pia wale wasiotaka wapewe nafasi na kisha raia waachwe kuchagua kwa hiari. Wanaporuhusu uhuru wa kujieleza why they fear, serikali inapata fursa ya kutoa majibu ambayo yataleta confidence...Watendaji waache kutumia nguvu, watumia taaluma kuwaelimisha watu na watoe majibu yenye confidence....Kama huna majibu acha kutumia deception inapunguza confidence kwa wenye genuine fear.
 
Sio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.
Mzungu angetaka kutudhuru angetumia madawa yaliyopo kwenye system ya matumizi wala asingetumia nguvu kubwa hivo kupinga chanjo ni ujinga usio na mfano
 
Na ana waumini lukukii, muda wa ibada ndio muda wa kuongea madudu yake na wanashangilia.
 
Chanjo hamtaki ila madawa yao mengine mnatumia bila kuhoji hiyo ni akili au matope?
Unajua Haki hata za mgonjwa kwenye hospitali? Anaruhusiwa kukataa dawa akitaka labda awe unconscious au certified mwendawazimu . Sembuse chanjo?
 
Hii ni misimamo ya kijinga, kama kweli unaamini mnachosimamia msitumie panadol na madawa yote
Si kila ugonjwa lazima utumie dawa ya hospitali.Waweza jifukiza au kula malimao na tangawizi .Kama zinakusaidia shida Nini? Kwa Nini ukomalie kila mtu achanjwe wakati immunity tunatofautiana?


Wazungu immunity kwa ya mafua na Corona hawana

Mzungu mafua tu yaweza kumuua waswahili kitu kidogo

Ngozi nyeusi tuna immunity ya uhakika tusiiige ige tu


Kuna tropical disease Kama malaria kwao haipo.Si kila kilicho tishio kwao na kwetu Ni hivyo
 
Si kila ugonjwa lazima utumie dawa ya hospitali.Waweza jifukiza au.kula malimao na tangawizi Kama zinakusaidia shida Nini? Kwa Nini ukomalie kila mtu achanjwe wakati immunity tunatofautiana


Wazungu immunity kwa ya mafua na Corona hawana

Mzungu mafua tu yaweza kumuua waswahili kitu kidogo

Ngozi nyeusi tuna immunity ya uhakika tusiiige ige tu


Kuna tropical disease Kama malaria kwao haipo.Si kila kilicho tishio kwao na kwetu Ni hivyo
Chukua coca big ntalipa mimi
 
Huyu umbwa ccm watajuta kumfahamu, yaani hii ni disaster, jitu wameliibia kura sasa linawaumbua, inatakiwa aanze kumvua nguo ndugai maana hana cha kupoteza huyu ana mazombi yake yanampa sadaka kwa mamilioni hata akiwa sio mbunge poa tu ila sio wengine njaa kali
 
Mi sikujibu sababu namfahamu toka anaanzisha kanisa pale ubungo hunters club, na alikuwa anakuja kwenye internate cafe yetu kufuata mtandao karibu kila siku.
Najua scandal zake kibao na kesi pia na longolongo chungunzima,kabla hata hajaanza kufufua misukule.

Umeshamsikia anaelezea historia yake alianzia wapi.

You are betting on the wrong horse, labda uwe na mambo yako mwenyewe lakini kama una weka imani kwa huyu mzinzi chameleon pole sana.

Pia ni mtalaam wa 5G huyu Chameleon na kikija kitu kingine kipya atatoa mada kama mtaalam Bingwa.
 
Kwani gwajiboy anaona chanjo itamfanyia genome editing, kama anatilia mashaka ile Pfizer na Moderna anaweza kuchanja ile ya urusi na uchina, yenyewe haitumii teknolojia ya mRNA......all in all, kuna njama zinataka kufanyika kwenye human genome, ni swala la muda tu tutaanza kushuhudia binadamu wanaozaliwa wakiwa na maumbile na tabia za ajabu ajabu...
Data zinazoonyesha accumulation of lipid nano-particles (vaccine carrier molecules)kwenye ovaries ndani ya masaa 48 baada ya kuchanja chanjo ya UVIKO, ni kiashiria tosha cha kuwezesha kufanyika genome editing kwenye reproductive cells na kuweza ku-introduce new traits kwa mtoto atakayezaliwa, which traits? mimi na wewe hatujui kwa sasa........
 
Back
Top Bottom