Unakataa chanjo ila madawa yao mengine unakubali hii ni aina ya ujinga mpyaHayuko peke yake hata Mimi sitaki chanjo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakataa chanjo ila madawa yao mengine unakubali hii ni aina ya ujinga mpyaHayuko peke yake hata Mimi sitaki chanjo
Inabidi mkate na madawa yao mengine vinginevyo mnajitekenya na kucheka wenyeweTanzania tangu chanjo izinduliwe tarehe 4 August, ni watu laki 2 na ushee tu kati ya chanjo 1,084,000 zilizoletwa nchini.
Leo tarehe 15 kama mwitikio ungekuwa mkubwa, chanjo ingeisha mapema.
Watu wengi hawachanjwi.
245000/1084000% tafuta pasenti kama wajua hisabati.
Chanjo hamtaki ila madawa yao mengine mnatumia bila kuhoji hiyo ni akili au matope?.kuu duniani kuna wanaume wengi sana mashoga na wanaona Sana, je hiyo inahalalisha wewe pia kuwa shoga?
Ujinga ni kupinga chanjo alafu ukishikwa homa unafakamia mseto bila kuhojiMambo hayako hivyo broo, ikiwa dunia nzima ikikosea halafu mmoja akapatia ?
Wungi siyo kipimo cha haki..
Mzungu angetaka kutudhuru angetumia madawa yaliyopo kwenye system ya matumizi wala asingetumia nguvu kubwa hivo kupinga chanjo ni ujinga usio na mfanoSio dunia nzima,baadhi tu ndio waliochanja,Marekani mpk wanakupa dola 100,ili uchanjwe.
Unajua Haki hata za mgonjwa kwenye hospitali? Anaruhusiwa kukataa dawa akitaka labda awe unconscious au certified mwendawazimu . Sembuse chanjo?Chanjo hamtaki ila madawa yao mengine mnatumia bila kuhoji hiyo ni akili au matope?
Si kila ugonjwa lazima utumie dawa ya hospitali.Waweza jifukiza au kula malimao na tangawizi .Kama zinakusaidia shida Nini? Kwa Nini ukomalie kila mtu achanjwe wakati immunity tunatofautiana?Hii ni misimamo ya kijinga, kama kweli unaamini mnachosimamia msitumie panadol na madawa yote
Chukua coca big ntalipa mimiSi kila ugonjwa lazima utumie dawa ya hospitali.Waweza jifukiza au.kula malimao na tangawizi Kama zinakusaidia shida Nini? Kwa Nini ukomalie kila mtu achanjwe wakati immunity tunatofautiana
Wazungu immunity kwa ya mafua na Corona hawana
Mzungu mafua tu yaweza kumuua waswahili kitu kidogo
Ngozi nyeusi tuna immunity ya uhakika tusiiige ige tu
Kuna tropical disease Kama malaria kwao haipo.Si kila kilicho tishio kwao na kwetu Ni hivyo
Anasema wame-fake, hawakuchanjwa [emoji848]Huyu jamaa ni kukaza kweli kweli, kwa hiyo dunia nzima walochanja ni wajinga alafu yeye ndo mwerevu?
Si mara ya kwanza alishafeli kwa aliyemwita 'mpakwa mafuta' makonda.Hahahaaaa...... Pascal Mayalla amefeli kwa Gwaj!
Muumini usipanik, akiwa na akili kukuzidi hadi ukawa muumini wake inatosha.Sasa we nae unataka kujifanya una akili kuliko Gwajima the Don?
Weweeee! Tuliza papuchi hilo!