Askofu Gwajima: Mitume tumekuwa wengi Mungu amenituma sasa nikatumikie nchi na baadaye Dunia, sitarudi nyuma

Askofu Gwajima: Mitume tumekuwa wengi Mungu amenituma sasa nikatumikie nchi na baadaye Dunia, sitarudi nyuma

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.

Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.

Maendeleo hayana vyama



cc: Pascal Mayalla
 
Tamaa mbaya, kuacha madhabahu na kuingia siasani hili sio jambo jema.
Hapo alipo ana nafasi kubwa ya kutoa mchangi wake wa mawazo eg kushauri hata kukemea kupitia hiyo madhabahu yake.
Tuone mwisho wa filanu hii pendwa
 
Tamaa mbaya, kuacha madhabahu na kuingia siasani hili sio jambo jema.
Hapo alipo ana nafasi kubwa ya kutoa mchangi wake wa mawazo eg kushauri hata kukemea kupitia hiyo madhabahu yake.
Tuone mwisho wa filanu hii pendwa
Mitume wamekuwa wengi...... Uwe unaelewa bwashee!
 
Back
Top Bottom