Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Kitendo tu cha kuacha madhabahu ni anguko tayari.
Aibu kubwa iko njiani kumjilia.
Aibu kubwa iko njiani kumjilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je Gwajima ameshafeli vigezo, masharti , kanuni, mazoea ya CCM Mpya na makatazo kwa watia nia CCM 2020 kuanza kampeni mapema kinamna? Kwako johnthebaptist, Polepole, Dr. Bashiru Ally ambaye ni Katibu Mkuu wa CCM na mkurugenzi wa uchaguzi CCM Mpya
atachaguliwa na CCM lakin sio wananchiAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Huyu jamaa lazima kalaaniwa....Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Baada ya kuona kondoo wanapungua sio?Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Hahaha.....kwa hiyo hapakaliki tena....au ....hali mbaya sanaMitume wamekuwa wengi...... Uwe unaelewa bwashee!
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Huna lolote mzee hakuna cha kutumwa ssdaka zimepunguaAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Dhambi hii ni mbaya machoni pa madhabahu iliyonena ukuu upitao ubunge na uraisi. Leo anasujudu ubunge ?Kitendo tu cha kuacha madhabahu ni anguko tayari.
Aibu kubwa iko njiani kumjilia.
ClownAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Halafu ana ushamba fulani, yaani akila mtoto wa dsm anajirekodi kabisa akajiangalie tena mbele ya safari.. ana bahati sn, kijiwe chake cha kanisa kimemtimizia ndoto zake!.Gwajima????????
Yaani,the most dishonest porn star of all time in this republic!
22 Otober 2016Umenikumbusha kuna siku aliigiza hawezi kutembea, akaingia kanisani kwake na wheelchair, baada ya muda mfupi akaanza kusema najiskia kutembea...najiskia kutembea... waumini wake wakaanza kushangilia jamaa akasimama igizo lake likaishia hapo, but wapo viazi waliomuamini!.
Mwenzio anatembelea chopa hana njaa ya " ugali maharage"
Mkuu ubunge hapati...hawezi katiza mbele ya Mdee!Halafu ana ushamba fulani, yaani akila mtoto wa dsm anajirekodi kabisa akajiangalie tena mbele ya safari.. ana bahati sn, kijiwe chake cha kanisa kimemtimizia ndoto zake!.
Kuna baadhi ya vi-clip vyake sometimes nilikuwa nikivifuatilia, Ila kwa sasa sina hamu navyo.Dhambi hii ni mbaya sana
Dhambi hii ni mbaya machoni pa madhabahu iliyonena ukuu upitao ubunge na uraisi. Leo anasujudu ubunge ?