Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmhhhhAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Hahahaaaa........ Ubarikiwe sana bwashee!Wakati Mungu amesema mavuno NI mengi watenda kazi NI wachache yeyw anasema mitume NI wwngi duuh
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
AminaaaaaHahahaaaa........ Ubarikiwe sana bwashee!
Nakumbuka hawa wachungaji wakati wa JK waliandika waraka kumbe ilikuwa njaa tu daaah.
Thubutu waliandika lini mkuu? Madai yalikuwa nini?Kwani awamu hii hawajaandika?
Mbona wamekuwa wakiandika?!
Wakati wa asubuhi au mchana?Mdee ana wakati mgumu sana!
Ni lini Gwajima amekuwa mgombea?Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dkt. Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Masikini MbashaMisukule yake inashangilia. Pale kuna wanaume mahanisi, wanawake masikini matasa yanatafuta uzazi toka kwa tapeli!
Thubutu waliandika lini mkuu? Madai yalikuwa nini?
Yeye anashindana na YESU sasa?. YESU alisema mavuno ni mengi watenda kazi ni wachache. Gwajima aache upuuzi.yeye kashaamua kuwagombea agombee tu.Mitume wamekuwa wengi...... Uwe unaelewa bwashee!
Unakumbuka waraka wa Jumuiya la Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC).![]()
![]()
![]()
Mbona waliandika KKKT, Roman Catholic, wachungaji binafsi mfano yule wa Rulenge,
Kuna Yule wa Kigoma , kuna Bagonza n.k
Hao wote wamekuwa wakitoa nyaraka mbalimbali @ Ritz
Kumbe ulikuwa hujajua?!
Ni Bora Angesema ameamua; Mungu Siku izi anaongea kwenye Scripture, hawezi kujipinga; Ni Bora angesema kwamba ameamua Kwenda kwenye Siasa ingetosha sana, kuliko kuleta hoja za Mungu amemtuma; Ni Unafiki na Uongo and Offcourse Against Scripture.Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia